Dola bilioni 1 kuwezesha uzalishaji wa chanjo Afrika – DW – 20.06.2024

 Katika mkutano huo, kumetangaza ufadhili wa dola bilioni 1.2 zitakazowezesha kuzalisha chanjo huko Afrika, bara ambalo linakabiliwa na matatizo mengi ya kiafya ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa magonjwa ya milipuko kama kipindupindu. Mbali na viongozi wa Magharibi, mkutano huo umehudhuriwa pia na viongozi kutoka nchi kadhaa za Kiafrika kama Botswana, Rwanda, Senegal, Ghana, Mataifa…

Read More

Majaliwa ataja sababu kutoanzishwa maeneo mapya ya utawala

Dodoma. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema watakapojiridhisha na utoaji huduma, miundombinu na rasilimali watu kwenye maeneo mapya ya utawala ndipo Serikali itatoa vibali vya uanzishwaji wa maeneo mapya, pamoja na kufafanua fursa ya mikopo ya asilimia 10 kwa wanaume. Mwaka 2016 wakati wa kuhitimisha mjadala wa bajeti ya Waziri Mkuu, alitoa tamko la…

Read More

Wabunge wapinga ongezeko la Sh382 bei ya gesi

Dodoma. Baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wameitaka Serikali kuondoa ongezeko la Sh382 kwenye bei ya gesi inayotumika kwenye magari badala yake iongeze vituo vya utoaji wa gesi na kuweka ruzuku kwenye vifaa vya matumizi ya gesi. Wamesema hayo wakichangia makadirio ya bajaeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ambapo…

Read More

WANAWAKE WATUMISHI WIZARA YA FEDHA WAJA MKAKATI WA USHIRIKIANO KUPITIA GOLDEN WOMEN GALA (HAZINA) 2024.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Wanawake Watumishi na waliowahi kuwa Watumishi wa Wizara ya fedha ambao wanaunda umoja wa Golden Women Gala wametakiwa kutochukiana na kutokuwa sababu ya yeyote kutofanikiwa katika kazi na hasa katika upandaji wa vyeo na mambo mengine. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Jenipher Chirstian Omolo mapema Jijini…

Read More

AJIRA ZA UMMA SASA KWA UWAZI NA USHINDANI

Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kusimamia mchakato wa upatikanaji wa ajira katika taasisi, idara na mashirika ya umma kwa uwazi, uwajibikaji na kuzingatia ushindani, kama inavyoelekezwa na sera ya ajira nchini. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete, ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na waandishi wa…

Read More

 AI kutumika kupambana na mabadiliko ya tabianchi

Dar es Salaam. Wakati mkutano wa 30 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP30) ukitarajiwa kufanyika, wataalamu wamekuja na mkakati wa matumizi ya Akili Unde (AI) katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi. AI ni teknolojia inayowezesha kompyuta na mashine kuiga uwezo wa binadamu kama kujifunza, kufikiri, kufanya uamuzi…

Read More

Majimaji Songea kurudi kivingine, yaitaka Ligi Kuu

CHAMA cha Soka Mkoa wa Ruvuma (FARU) kikishirikiana na wadau wa soka mkoani humo wapo katika hatua za mwisho kuifufua upya Majimaji Songea, ili kuhakikisha inarejea tena kwenye medani za soka. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya Muungano na iliyowahi kutamba Ligi Kuu Bara, imepotea kwenye soka baada ya kufungiwa na kushushwa daraja…

Read More

Benki ya NBC Yampongeza Rais Samia kwa Tuzo ya Heshima ya Bunge, Yaahidi Ushirikiano Utekelezaji wa Miradi ya Kimkakati

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imempogeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kufutia tuzo maalum ya heshima aliyotunukiwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuthamini kazi kubwa na nzuri aliyofanya katika kuleta maendeleo nchini. Aidha, benki hiyo imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais Samia kwa…

Read More

YAKUSANYA TRILIONI 7.53 JANUARI HADI MACHI 2025

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53 katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ufanisi wa asilimia 101.32 ya lengo la kukusanya Shilingi Trilioni 7.43. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda imeeleza kuwa ufanisi wa makusanyo…

Read More

Ang’atwa mdomo na mchepuko wake

Kakamega. Mkazi wa Kakamega, Douglas Shisia amejikuta  katika maumivu baada ya kung’atwa na kunyofolewa mdomo na mwanamke aliyetajwa kuwa ni mchepuko wake, alipokwenda kumtembelea nyumbani kwake. Shisia (45) ambaye anaishi Nairobi na familia yake akiwamo mkewe na watoto, alisafiri hadi Shiatsala Kakamega, anapoishi mchepuko huyo ambaye jina lake halikufahamika Jumatano Aprili 2, 2025 kwa lengo…

Read More