Gibril Sillah anavyomtumia Pacome wa Yanga!

WINGA wa Azam FC, Gibril Sillah, amebainisha kwamba amekuwa akimtumia kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua kama sehemu ya kuimarisha kiwango kutokana na kufurahishwa na namna anavyocheza mwenzake. Kati ya vitu anavyovipenda Sillah kwa Pacome ni pale anapokuwa na mpira mguuni huwa hamuachii nafasi mpinzani  kumnyang’anya, badala yake anatumia akili na nguvu kuufikisha sehemu sahihi. “Pacome…

Read More

Makocha 500 waomba kazi TRA United

MAMBO yanazidi kupamba moto ndani ya kikosi cha TRA United baada ya mabosi wapya wa timu hiyo kupokea maombi ya makocha 500, walioomba kazi huku mchujo ukitarajiwa kufanyika Ijumaa wiki hii. TRA United ambayo hapo awali ilikuwa ikiitwa Tabora United, tangu msimu uanze imekuwa haina kocha mkuu ikiongozwa na kocha msaidizi, Mkenya, Kassim Ottieno. Akizungumza…

Read More

Pamoja na migogoro, vita vya habari bado vinafanyika, anaonya mkuu wa UNRWA – maswala ya ulimwengu

“Waandishi wa habari wa Palestina wanaendelea kufanya kazi ya kishujaa, kulipa bei nzito; 170 wameuawa hadi leo,” AlisemaUnrwa Kamishna Mkuu Philippe Lazzarini. “Mtiririko wa bure wa habari na ripoti huru ni ufunguo wa ukweli na uwajibikaji wakati wa migogoro.” Katika rufaa yake, Bwana Lazzarini alibaini kuwa katika zaidi ya miezi 18 tangu vita huko Gaza…

Read More

Simba uso kwa uso na Al Masry robo fainali

Droo ya robo fainali ya Kombe la Shrikisho Afrika imepangwa ambapo Simba itavaana na Al Masry ya Misri. Simba ambayo ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya Caf baada ya Yanga, Coastal Union na Azam kuondolewa itaanzia ugenini ambapo mchezo wa kwanza utapigwa Aprili 4 huku wa pili ukipigwa Aprili 10 kwenye Uwanja…

Read More

Wastaafu CCM wampigia chapuo Samia, urais 2025

Dodoma. Viongozi wastaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali wamemwelezea mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, kama chaguo bora katika nafasi hiyo, huku wakiwataka wananchi kwenda kumpigia kura, ili aendelee kuliongoza taifa. CCM kinaendelea na kampeni katika maeneo mbalimbali, na tangu kilipozindua kampeni zake Agosti 28, tayari mgombea huyo urais amefanya kampeni…

Read More