Wananchi Ubungo walilia barabara | Mwananchi

Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wa Mpigi Magohe, Wilaya ya Ubungo wameikumbusha Serikali kutekeleza ahadi ya ujenzi wa barabara ya Mbezi Victoria kwa kiwango cha lami iliyotoa ili kuwaondolea adha ya usafiri inayowasumbua. Ahadi ya ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 9.55 yenye kero hususan nyakati za mvua ilitolewa Mei 2024 na…

Read More