Sina wasiwasi na Minziro, Maxime

WAKATI timu zao zikikaribia kuanza maandalizi ya msimu mpya, Dodoma Jiji na Pamba Jiji  zimefanya uamuzi unaofanana kama majina yao yalivyo mwishoni. Zote zimevunja mabenchi yao ya ufundi ambayo yameziongoza timu hizo katika msimu uliopita na zimeingiza sura mpya ambazo zitazinoa katika msimu unaokuja wa 2025/2026. Dodoma Jiji imeachana na Mecky Maxime aliyeiongoza timu hiyo…

Read More

DIRA ya Taifa 2050 ni maoni ya nchi siku za usoni-Dk. Biteko

*Amezindua Ripoti ya Maendeleo ya Watu Tanzania, 2022 *Wizara, Taasisi, Mashirika na wadau watakiwa kutoa maoni *Makongamano ya kikanda kuendelea Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Imeelezwa kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo ni picha na maono kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi kwa siku za usoni. Hayo yamebainishwa leo Julai 20, 2024 na Naibu…

Read More

Mbivu, mbichi waliotumwa na afande ni leo

  HUKUMU ya kesi ya jinai ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti mmoja mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es saalam (jina limehifadhiwa), inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kesi hiyo Namba 23476 ya Mwaka 2024, inawakabili washtakiwa wanne, wakiwamo askari wa…

Read More

Profesa Mkenda awapa kibarua hiki watafiti

Dar es Salaam. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi kusaidia kukwamua changamoto za uzalishaji sekta mbalimbali ikiwemo elimu na kilimo, kwa lengo la kuchochea ustawi endelevu wa maendeleo kiuchumi. Amesema hayo jana Julai 10, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika ufunguzi wa mkutano…

Read More