Jaji Werema kuzikwa Januari 4 Butiama

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema anatarajiwa kuzikwa Jumamosi Januari 4, 2025 Butiama mkoani Mara. Ratiba rasmi ya mazishi iliyotolewa na familia yake ambayo Mwananchi imeiona imeeleza kuwa, Januari 1, 2025 ibada ya kumuombea marehemu itafanyika katika Kanisa la Mtakatifu Martha, Mikocheni jijini Dar es Salaam kuanzia saa 9 alasiri….

Read More

ADHABU MBADALA KUPUNGUZA MSONGAMANO GEREZANI

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema Serikali imefanikiwa kupunguza msongamano katika Magereza mbalimbali nchini mara baada ya kuanza kutekeleza adhabu mbadala kwa wafungwa wanaotumikia adhabu za nje ya Magereza ambapo takriban wafungwa 2000 kila siku wanatumikia adhabu za nje Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Huduma za Uangalizi Wizara ya Mambo ya…

Read More

Aucho aitikisa Yanga, kocha Hamdi afunguka

YANGA inajiandaa kushuka uwanjani Jumanne hii kuvaana na Stand United, huku kocha wa timu hiyo akifichua kuwa, kukosekana kwa kiungo wa kati Khalid Aucho, kwa muda wa wiki tatu ndani ya kikosi hicho kunampasua kichwa, ingawa amejipanga na jeshi lake kumalizia mechi zilizosalia kwa kishindo. Aucho anayeitumikia Yanga kwa msimu wa tatu sasa, amekuwa mhimili…

Read More

Kocha Yanga atoboa siri, atoa tahadhari

KAMA unadhani Yanga ya Sead Ramovic imemaliza, basi unajidanganya. Wengi wanadhani timu hiyo imefika kileleni, lakini ukweli ni kwamba kuna asilimia 20 ya kiwango ambacho Mjerumani huyu anahitaji ili kuhakikisha kikosi kinakuwa moto zaidi. Kocha wa viungo wa Yanga, Adnan Behlulov, amesema katika mahojiano na Mwanaspoti kuwa licha ya mwenendo mzuri wa kikosi hicho, bado…

Read More

Mpwa Wangu Aliuawa Katikati ya Migogoro ya Ardhi ya Mexico. Dunia Lazima Iwajibishe Mashirika – Masuala ya Ulimwenguni

Claudia Ignacio Álvarez akiwa San Lorenzo de Azqueltan, Jalisco, Meksiko. Credit : Eber Huitzil Maoni na Claudia Ignacio Álvarez (michoacÁn, mexico) Alhamisi, Desemba 18, 2025 Inter Press Service MICHOACÁN, Meksiko, Desemba 18 (IPS) – Mpwa wangu Roxana Valentín Cárdenas alikuwa na umri wa miaka 21 alipouawa. Alikuwa mwanamke wa Asili wa Purépecha kutoka San Andrés…

Read More

Mwalimu auawa akidhaniwa mwizi | Mwananchi

Mbeya. Fredrick Nyambo (40), Mwalimu wa Shule ya Sekondari Hayombo katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana waliomdhania kuwa ni mwizi. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Aprili 15, 2025, katika Mtaa wa Mwanyanje, Kata ya Igawilo, ambako marehemu alikuwa akiishi. Akizungumza na Mwananchi leo, Alhamisi Aprili 17,…

Read More

Dk. Biteko: Ubelgiji yaunga mkono ajenda ya nishati safi

  UBELGIJI imeunga mkono kampeni ya Nishati Safi ya kupikia na hivyo imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania katika matumizi ya nishati hiyo kwa maendeleo ya Bara zima la Afrika iliyoasisiwa na kinara wa kampeni hiyo, Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yamebainishwa katika kikao cha Naibu Waziri…

Read More