RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA ZA VYAKULA WAKATI WA RAMADHANI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuridhishwa na upatikanaji wa Bidhaa za Vyakula na kuwataka Wafanyabiashara Kutopandisha Bei wakati Ramadhani itakapoanza. Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo alipotembelea Masoko ya Jumbi , Mwanakwerekwe na Darajani kuangalia Mwenendo wa Biashara na Upatikanaji wa Bidhaa za Vyakula kuelekea Mwezi Wa Ramadhani….

Read More

Utata Sh87 bilioni za mwekezaji Simba

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi na Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ usiku wa Julai 14, 2025, alitumia muda huo kuzungumza na Wanasimba na wapenda soka kwa jumla huku akitaja mambo mbalimbali yanayoendelea ndani ya klabu hiyo ikiwemo suala la uwekezaji wake. Mo ambaye hii ni mara ya pili anafanya hivyo katika akaunti…

Read More

BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo ameshiriki kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) na mafunzo kwa Wajumbe wa Baraza Kuu. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Komredi Mohammed Ali Mohammed (Kawaida), kilifanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM…

Read More

‘Sura’ na upekee wa maonyesho ya Sabasaba 2024

Dar es Salaam. Unaweza kusema maonyesho ya 48 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu Sabasaba mwaka huu ni ya kipekee kutokana na ongezeko la kampuni za kigeni zilizoshiriki zikiwamo za magari. Maonyesho haya yanaweka upekee kwa watembeleaji pia,  hasa baada ya kuwapo kwa bidhaa nyingi za kielektroniki kutoka nje kwa ajili ya…

Read More

Nyuki wa Tabora wamepania kung’ata zaidi msimu huu

TAYARI Tabora United inafahamu ladha tamu na chungu za Ligi Kuu Bara kutokana na kushiriki michuano hiyo kwa misimu miwili na sasa inakwenda wa tatu. Katika msimu wa kwanza 2023-24, timu hiyo iliponea chupuchupu kushuka daraja baada ya kushinda michezo ya mtoano kufuatia kumaliza katika nafasi ya 14 kati ya timu 16, hilo likawafanya viongozi…

Read More

Mpina akatwa tena kinyang’anyiro cha urais Tanzania

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeengua rasmi jina la mgombea wa urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina katika orodha ya wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Hatua hiyo imekuja baada ya INEC kukubali pingamizi lililowasilishwa na Mwanasheria…

Read More

Kijana wa miaka 29 amuoa mama mwenye nyumba, Aelezea Mikasa

Kama kijana wa kiume unajua kuna mambo yanaweza kukutokea hadi wewe mwenyewe ukawa unashangaa maana yake ni ipi hasa, ndicho nilichonikuta mimi pale ambapo mama mwenye nyumba aliponiita nyumbani na kuniambia kuwa ananitaka kimapenzi. Naitwa Kelvin, naishi Dodoma, ni kijana wa miaka 29 ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza chips maeneo ya mjini, kutokana na…

Read More

𝗡𝗔𝗜𝗕𝗨 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗔𝗜𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗲-𝗚𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗠𝗔𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗜𝗥𝗜𝗞𝗜𝗔𝗡𝗢 𝗡𝗔 𝗦𝗘𝗞𝗧𝗔 𝗕𝗜𝗡𝗔𝗙𝗦𝗜

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Clement Sangu (Mb), ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi, ili kuongeza wigo wa ajira kwa vijana wabunifu kwenye eneo la TEHAMA. Mhe. Sangu ametoa rai hiyo hivi karibuni, wakati akifunga programu ya awamu ya tano…

Read More

Mynaco ataja ugumu Ligi ya Wanawake nchini Misri

KIUNGO wa Zed FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Maimuna Hamis ‘Mynaco’ amesema msimu huu umekuwa bora kwake kutokana na ushindani ulioongezeka kwenye ligi hiyo. Mynaco alijiunga na timu hiyo msimu wa 2023 akitokea Yanga Princess ambayo ilimuuza kwenda nchini Misri. Kiungo huyo wa zamani wa Simba Queens, Yanga Princess na JKT Queens huu…

Read More