SACP DKT. DEBORA MAGILIGIMBA AONGEZEWA MAJUKUMU SHIRIKISHO LA POLISI WANAWAKE DUNIANI-IA

::::::: Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Dkt Debora Magiligimba ambaye pia ni mratibu  wa shughuli za Shirikisho la polisi wanawake duniani  IAWP ( International Association of Women Police) wa ukanda wa 21 Southern Africa countries na Mjumbe wa Kamati ya Fedha ya shirikisho la Polisi wanawake duniani ameongezewa majukum ya  kuratibu shughuli za IAWP…

Read More

Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa mpya

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More

Mbunge ataka wanaofanya biashara na watoto watafutiwe maeneo

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu Janeth  Mahawanga amehoji iwapo Serikali haioni umuhimu wa kuwatafutia maeneo wanawake wenye watoto wadogo wajasiriamali wanaofanya biashara zao pembezoni mwa barabara wakati wakisubiri kuwatengea maeneo husika. Akiuliza maswali ya nyongeza bungeni leo Ijumaa Aprili 19, 2024, Janeth pia amehoji lini Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kitatengeneza programu mahususi kwa ajili…

Read More