Adaiwa kujinyonga kisa Sh300,000 alizompa mkewe

Arusha. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Thadei Nnko (67) mfanyabiashara wa vyuma chakavu na mkazi wa kata ya Sinon jijini Arusha amejinyonga kwa kile kinachodaiwa kusababishwa na deni la Sh300,000 analomdai mkewe. Kwa mujibu wa mashuhuda, marehemu alimpa mkewe fedha hizo kwa ajili ya kununua mzigo wa vyuma chakavu, lakini baadaye akaja tena kuitaka…

Read More

Mrithi wa Kinana kupatikana Januari 2025

Dodoma. Licha ya kutajwa majina saba katika nafasi ya makamu mwenyekiti mpya wa CCM-Bara, mrithi atafahamika katika Mkutano Mkuu Maalumu wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika Januari 18 hadi 19, 2025. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya CCM, mkutano huo unalenga kuziba pengo lililoachwa wazi na Abdulrahman Kinana, aliyejiuzulu nafasi ya makamu mwenyekiti -Bara Julai…

Read More

Mechi nane za kimkakati Bigman

KOCHA wa Bigman FC, Zubery Katwila amesema licha ya kukabiliwa na ratiba ngumu katika michezo minane iliyosalia kumaliza msimu huu, ila amejipanga kuhakikisha kikosi hicho kinamaliza nafasi nne za juu ili kupata nafasi ya kucheza ‘Play-Off’. Kauli ya Katwila inatokana na ratiba ngumu inayomkabili kwani katika michezo minane iliyobakia ni mitatu tu ya nyumbani, huku…

Read More

Piga Pesa Nyingi Leo – Global Publishers

Last updated May 22, 2025 Siku ya kupiga mzigo wa maana iemefika. Odds kibao na machaguo zaidi ya 1000 zinapatikana leo. Weka jamvi lako na ubashiri hapa. SUPER LEAGUE pale Uswizi inatarajiwa kuendelea ambapo Yverdon-Sport atamualika kwake FC Zurich ambao wanashika nafasi ya 7 na mwenyeji wake nafasi ya 12. Meridianbet wameipa mechi hii…

Read More