Beki Stellenbosch auogopa mziki wa Mpanzu

MECHI ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Stellenbosch dhidi ya Simba itakayopigwa Aprili 27, 2025 kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban nchini Afrika Kusini, imeendelea kugusa hisia za mashabiki huku kukiwa na presha kubwa kambini kwa Stellenbosch. Katika mchezo wa kwanza uliofanyika Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja,…

Read More

Wananchi Ntunduwaro wanufaika na Makaa ya Mawe

– Wajengewa barabara, Zahanati – MILCOAL yatoa fursa za ajira UZALISHAJI wa madini ya makaa ya mawe katika kijiji cha Ntunduwaro kata ya Ruanda wilayani Mbinga ni chanzo kikubwa cha mapato ya Serikali na maendeleo ya wananchi wa kata hiyo. Akizungumza katika mahojiano maalum, Meneja wa mgodi wa Market Insight Limited (MILCOAL), Atit Mehta amesema…

Read More

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu watakiwa kuendelea kudumisha amani,

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kuidumisha amani, utulivu na mshikamano uliopo nchini ili kuweza kuisaidia serikali kuweza kupiga hatua kimaendeleo. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid RIDHAA uliopo MADUNGU WILAYA YA CHAKE CHAKE mara baada ya kumaliza…

Read More

MisaTan: Vyombo vya habari vitoe elimu ya uchaguzi

Dar es Salaam. Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, asasi mbalimbali za kiraia pamoja na vyombo vya habari nchini vimetakiwa kushirikiana kuhakikisha elimu ya uraia na ushiriki katika masuala ya uchaguzi inafika kwa wananchi bila kuweka kando kundi lolote. Wito huo umetolewa  Mei 31 na Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyombo vya Habari…

Read More