KIKAO KAZI CHA KUPITIA NA KUTHIBITISHA RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAIFA WA KUZUIA KUZAMA MAJI CHAFANYIKA DODOMA

  Na Mwandishi wetu Dodoma. Kikao kazi cha kupitia na kuthibitisha Rasimu ya Mpango Mkakati wa Taifa wa Kuzuia Kuzama Maji chafanyika tarehe 11 Juni, 2025 katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na uokoa Jijini Dodoma. Kikao hicho kimewashirikisha Wawakilishi kutoka Wizara, Taasisi na Idara za Serikali, Mashirika ya Kimataifa, Asasi zisizo…

Read More

Ibenge aaga rasmi Al Hilal, njia nyeupe Azam FC

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki na watu wote wa Sudan kwa kipindi cha miaka mitatu aliyofanya nao kazi, huku akiwaambia atabaki katika mioyo yao. Hatua ya kocha huyo kuaga inajiri baada ya jana Mtendaji Mkuu wa Al Hilal, Hassan Ali Issa kueleza  wamefikia uamuzi…

Read More

Wasira: Amani ienziwe, si hewa ipatikanayo bila kulipiwa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema suala la amani ya Tanzania lisichukuliwe kama hewa inayopatikana bila kulipiwa chochote, bali ni mipango na uzalendo wa viongozi ambao unapaswa kuendelezwa. Amehimiza Watanzania wakiongozwa na viongozi wa dini kuendelea kudumisha misingi iliyosimamisha amani iliyowekwa na waasisi wa Taifa. Wasira ameyasema…

Read More

Ombi la Wahifadhi wa Ndovu kwa Marais Ruto na Suluhu Kuhusu Ushirikiano wa Mipakani Kuhusu Ulinzi wa Tembo – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wanasayansi na wahifadhi wa mazingira, leo, siku ya Ulinzi wa Tembo/Ndovu Ulimwenguni, wameikabidhi serikali ya Tanzania arafa la ombi la kimataifa la sahihi zaidi ya 500,000 inayonuiwa kuwarai kutamatisha uwindaji wa ndovu katika maeneo yake yanayopakana na Kenya. Hii ni kutokana na hatua ya utawala wa Tanzania kutoa vibali vya uwindaji wa ndovu wenye pembe…

Read More

Upelelezi bado shauri la wizi Benki ya Equity

Dar es Salaam. Washtakiwa 11 wanaokabiliwa na mashtaka 20, yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ya Sh5.7 bilioni kwa udanganyifu mali ya Benki ya Equity Tanzania Limited, wataendelea kusalia rumande hadi Septemba 9, 2025 kesi itakapotajwa. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa shauri hilo la uhujumu uchumi kutokamilika, huku mashtaka ya kutakatisha…

Read More

MARTINA THOMAS:NYOTA YA SANAA KANDA YA ZIWA,NI MSANII WA NGOMA ZA ASILI ALIYETEKA HISIA ZA WAZUNGU

Na Mtemi Sona   Ukizungumzia sanaa ya ngoma za asili kanda ya ziwa, huwezi kuacha kumtaja mwana dada Martina Thomas. Kama wewe ni Mtazamaji, Martina akiwa jukwaani huwezi kuchoka kutazama jinsi anavyolishambulia jukwaa kwa uchezaji wake mahili na wenye kuvutia. Ni dada ambaye ameteka hisia za wapenzi wengi wa ngoma hizo hasa wazungu kutoka mataifa ya…

Read More

Dkt Yonazi awashukuru Jukwaa la Viongozi Tanzania kwa msaada wa 13.7m/- kwa waathirika Hanang

Na Mwandishi Wetu,Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amepokea msaada wa 13.7m/- kutoka kwa wanachama wa kundi sogozi(WhatsApp) liitwalo Viongozi Tanzania. Akipokea msaada huo katika hafla hiyo iliyofanyika jana ofisini kwake Mei 6,2024,mjini Dodoma ,Dkt Yonazi amewashukuru wanachama wa kundi hilo kwa kujitoa kwao…

Read More