Waisraeli 11 wauawa katika shambulio Australia

Sydney, Australia. Watu 11 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya shambulio la risasi lililotokea leo Jumapili Desemba 14, 2025, katika ufukwe wa Bondi, mashariki mwa Jiji la Sydney nchini Australia. Taarifa ya polisi wa Jimbo la New South Wales zinaeleza kuwa tukio hilo limetokea wakati watu walipokuwa wamekusanyika kusherehekea sikukuu ya Hanukkah (Chanukah),…

Read More

WANAKWAYA SITA WAFARIKI DUNIA WAKIENDA KUINJILISHA INJILI..

NA WILLIUM PAUL, SAME. WATU sita ambao ni Wanakwaya wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Chome wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wamefariki dunia huku wengine 23 wakijeruhiwa baada gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali. Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilaya ya Same ambaye pia ni Mkuu wa wilaya…

Read More

ZAMU YA Dk. SAMIA KUSAKA KURA ZA CCM KAGERA

Na Diana Byera_Bukoba Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kampeni mkoani Kagera tarehe 15 na 16 Oktoba 2025 kwa ajili ya kuomba ridhaa ya wananchi wa mkoa huo kumpigia kura katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025. Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Bukoba, Mwenyekiti wa…

Read More

TMA YAPONGEZWA KWA UBORESHWAJI WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA

………………….. Morogoro, Tarehe 15/04/2025 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imepongezwa kwa uboreshwaji wa utabiri wa hali ya hewa na taarifa za tahadhari za matukio ya hali mbaya ya hewa nchini.  Hayo yamesemwa na Mhe. Dkt. Rozalia Rwegasira,  Kaimu Katibu Tawala Mkoa, sehemu ya uchumi na uzalishaji wa mkoa wa Morogoro wakati wa ufunguzi…

Read More

Mabalozi wa mataifa zaidi ya matano  kushiriki kongamano Zanzibar

Unguja. Wakati likitarajiwa kufanyika tamasha la wajasiriamali Zanzibar, mabalozi kutoka mataifa makuu zaidi ya matano duniani wanatarajia kushiriki katika kongamano maalumu litakalojadili namna bidhaa kutoka visiwa hivyo  zinavyoweza kupata masoko kutoka nchi hizo. Tamasha hilo lenye kauli mbiu ‘Fahari ya Zanzibar, kuimarisha uwezeshaji kidijitali’, linaangazia umuhimu wa matumizi ya kidijitali katika biashara ambalo litakuwa na vipengele…

Read More

Jake Sullivan akutana na Wang Yi mjini Beijing, China – DW – 27.08.2024

Walipokutana leo mjini Beijing, Sullivan na Wang Yi walisema kwamba wanatarajia kufanya mazungumzo yenye tija. Sullivan amesema anasubiria mikutano kati yake na Wang ambapo wataangazia masuala wanayokubaliana na pia ambayo bado kuna tofauti ambazo wanatakiwa kushughulikia kwa umakini na kwa ufanisi. Soma pia:China, Marekani kuzungumzia suala la Taiwan Muda mfupi kabla ya kuanza kwa mazungumzo hayo, Sullivan…

Read More

Watoto wawili waliotoweka wapatikana kwa mganga wa kienyeji

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limesema watoto wawili waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha wakiwa na mfanyakazi wa ndani siku tano zilizopita wamepatikana. Imeelezwa katika taarifa ya polisi kuwa watoto hao wamepatikana wakiwa kwa mganga wa kienyeji Kimara Baruti, jijini Dar es Salaam. Watoto hao, wakazi wa Tandika, jijini Dar es Salaam, ni Husna Gulam…

Read More

ACT-Wazalendo, Monalisa wavutana | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati uongozi wa tawi la ACT-Wazalendo la Mafifi mkoani Iringa, ukitangaza kumfuta uanachama kada wake Monalisa Ndala, yeye ameibuka akipinga hatua hiyo. Monalisa amepinga hatua hiyo akibainisha kuwa yeye bado ni mwanachama hai wa ACT-Wazalendo tawi la Kibangu, wilayani Ubungo, mkoani Dar es Salaam na siyo Mafifi kama ilivyoainishwa katika barua ya…

Read More

VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUEPUKA MIGOGORO

MSAJILI wa Vyama Vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka Vyama Vya Siasa kuepuka migogoro ambayo imekuwa ikijitokeza kwenye vyama hivyo kwani kunaweza kusababisha kuleta mifarakano katika taifa. Agizo hilo amelitoa leo Julai 9,2024 jijini Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa viongozi wa vyama vya siasa nchini yakiwa na lengo la…

Read More

Ajali mbaya yatokea Geita usiku wa kuamkia leo

Ajali mbaya iliyohusisha Magari Mawili ikiwemo Gari la Abiria (Basi) lenye namba za usajili T. 963 DSR na Gari aina ya Kluger T. 425 DQE zimegongana uso kwa uso katika Kata ya Mponvu , Halmashauri ya Mji Geita na kupelekea Mtu 1 kufariki Dunia na wengine 10 kujeruhiwa usiku wa kuamkia leo na wengine kujeruhiwa….

Read More