Hapana; Afrika Kukosa Kiti Baraza La Usalama – Global Publishers
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, hakuna kisingizio cha kuifanya Afrika iendelee kuwa haina uwakilishi wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Guterres alikuwa katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, alikohudhuria Kikao cha 38 cha Kawaida cha…