DKT MWINYI AMCHAGUA HAMZA JUMA WAZIRI WA NCHI ZANZIBAR
:::::: Dkt mwinyi amechagua mhe HAMZA Hassan JUMA kuwa waziri wa inchi ofis ya makamo wa pili wa Rais zanzibar
:::::: Dkt mwinyi amechagua mhe HAMZA Hassan JUMA kuwa waziri wa inchi ofis ya makamo wa pili wa Rais zanzibar
Unguja. Vijana 500 wanatarajiwa kupatiwa mafunzo kupitia tamasha la Kizimkazi, litakalofanyika Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja. Tamasha hilo la Kizimkazi linatarajiwa kuanza Agosti 18, 2024 na litaambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo ufunguzi wa miradi, maonyesho ya vyakula vya asili na michezo. Akitoa taarifa hiyo leo Julai 28, 2024, Mwenyekiti wa tamasha hilo, Mahfudh Said Omar…
NEW City imekuwa timu ya tatu kuaga rasmi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada kuchezea kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Maafande ya JKU katika mechi iliyopigwa jana Jumatatu usiku.
Akizungumza mjini Geneva, OHCHR msemaji Liz Throssell alisema kuwa Ofisi inafahamu kuhusu ripoti na video zinazodaiwa kuonyesha mauaji ya wanaume wa Alawite huko Homs na miji mingine ya Syria tangu kupinduliwa kwa utawala wa Assad, ambao ulikuwa na uhusiano wa miongo mingi na Alawism – tawi la Uislamu wa Shia: “Tunafahamu taarifa hizo na ni…
Arusha. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro, amewataka mawakili wa Serikali kuzingatia maadili ya kazi zao na kuepuka rushwa, akisisitiza kuwa rushwa haina siri na hatimaye hufichuliwa. Pia, amewahimiza kutambua changamoto na ugumu wa kazi zao, kwa kuwa ni jukumu la kuleta haki katika jamii. Amesisitiza wazingatie kutenda haki ili kuimarisha usawa na…
Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Bahari ya 2025 wa UN. Mikopo: UNDESA na Naureen Hossain (Nzuri, Ufaransa) Jumatatu, Juni 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Nice, Ufaransa, Jun 09 (IPS) – Ulimwengu umeungana kando ya Bahari ya Mediterranean ili kudhibitisha ahadi zao kwa matumizi endelevu na…
Ukichambua ahadi na ilani za wagombea urais na vyama, kilimo ni eneo limezingatiwa kwa mkazo mkubwa. Hiyo inaleta mwangaza kwamba wanasiasa wana ufahamu wa kutosha kuhusu sekta mkombozi wa taifa. Hamad Rashid Mohamed, mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Alliance for Democratic Change (ADC), ajenda yake kubwa kwa Wazanzibari ni kilimo. Hamad anasema kuwa,…
Na Mwandishi wa OMH Kibaha, Pwani. Serikali imeeleza dhamira yake ya kutengeneza sheria rafiki za uwekezaji zitakazoiwezesha kufikia uchumi wa kati wa juu kama ilivyobainishwa kwenye Dira 2050. Moja ya shabaha za Dira 2050 ni kuchochea ukuaji wa Pato la Taifa kutoka zaidi ya $80 billioni za sasa mpaka $1 trilioni ifikapo mwaka 2050. Kufikia…
Dodoma. Serikali imeweka msimamo kuwa mikopo ya asilimia 10 katika kundi la vijana itatolewa kwa watu wenye umri wa mwisho wa miaka 45 pekee. Hata hivyo, umri huo ni nyongeza ya miaka 10 kutoka kikomo cha awali cha miaka 35, lakini kundi la wanawake halikuwa na ukomo. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo, Ijumaa Aprili 11,…
Karatu. Aliyekuwa mbunge wa Viti Maalumu katika Bunge lililopita na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Cecilia Paresso amesema kwa kazi iliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan anastahili kuenziwa kwa kupigiwa kura ya ndio ili aendelee kukamilisha ndoto yake ya kuijenga Tanzania mpya. Paresso, ambaye awali alikuwa mwanachama…