WAZIRI MKUU MAJALIWA AWASISITIZA WATUMISHI WA UMMA KUTOA HUDUMA BORA, TCAA YATOA ELIMU KUHUSU USAFIRI WA ANGA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amewataka watumishi wa umma kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia weledi, uadilifu na maadili ya utumishi wa umma. Mhe. Majaliwa aliyasema hayo Juni 23, 2025, katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Read More

Mzazi usifurahie mtoto akiwahi kutembea ni tatizo

Dar es Salaam. Katika makuzi yake, Jane Elias anasema aliambiwa alianza kutembea akiwa na miezi saba. Amesema wazazi wake walimweleza kuwa walifurahia, ingawa hivi sasa ni mateso kwake. “Huwa nikivaa viatu vinapinda na kuisha upande mmoja, mwanzo sikuelewa ni kwa nini lakini nikiwa tayari nimeshajitambua na kuwa na maisha yangu, niliamua kwenda hospitali kujua nina…

Read More

Usafiri mtandaoni wapamba Moto, mikoani sasa wafikiwa

Dodoma. Soko la usafiri wa mitandaoni mijini linazidi kuongeza ushindani baada ya Kampuni ya kimataifa ya Maxim kuzindua rasmi huduma zake katika mikoa ya Dodoma, Mwanza na Morogoro. Soko la usafiri wa mijini limekuwa likikua kwa kasi na kuvutia majukwaa mbalimbali ya kimataifa na kikanda kama Uber, Bolt na InDrive. Maxim, iliyoanzishwa mwaka 2003 na…

Read More

Cheza Meridianbet Missions, Geuza Kila Mzunguko Kuwa Ushindi

MERIDIANBET imefungua ukurasa mpya kabisa katika ulimwengu wa kasino mtandaoni kwa kuianzisha Meridianbet Missions, si mchezo wa kawaida, bali ni dhana mpya inayobadili mizunguko kuwa hadithi ya mafanikio. Hapa, kila mzunguko si suala la bahati pekee, bali ni hatua ya kuelekea ushindi. Ni kasino yenye mwelekeo, si bahati nasibu. Katika Meridianbet Missions, mchezaji unakuwa mhusika…

Read More

Dosari zamweka huru aliyedaiwa kusafirisha kilo 172.3 za bangi

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Masjala Ndogo ya Musoma, imemwachia huru Miriam Usire, aliyeshtakiwa kwa kosa la kusafirisha kilo 172.3 za bangi. Hukumu imetolewa na Jaji Monica Otaru, aliyesema ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka umeshindwa kuhalalisha hatia dhidi ya mshtakiwa kwani unaacha shaka. Jamhuri ilidai Oktoba 2, 2023, katika Kijiji…

Read More

Masauni atangaza hadharani kuifumua Nida

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, Hamad Masauni amesema halidhishwi na utendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), huku akiwaahidi wananchi kwenda kusafisha uozo ulipo. Kauli hiyo, imetolewa baada ya kupokea kilio cha wananchi wa Ubungo jijini Dar es Salaam waliomlalamikia Waziri huyo kuwa wanamuda mrefu wanatumia namba lakini kila…

Read More

Farid amkabidhi Chama namba 17, Mkude achukua 20

IMEFICHUKA kwamba, Mwamba wa Lusaka, Clatous Chama, msimu ujao atavaa jezi namba 17 ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kutua katika timu hiyo akitokea Simba, huku Jonas Mkude naye akichukua namba 20. Chama ambaye amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Simba kumalizika, amekabidhiwa jezi hiyo na Farid Mussa. Taarifa…

Read More