Fisi waua kondoo 17 Itilima, wazua hofu kijijini

Itilima. Hofu imetanda kwa wakazi wa Kijiji cha Gambasingu baada ya fisi wanne kuvamia zizi la kondoo na kuua kondoo 17 huku wengine watano wakijeruhiwa katika shambulio la usiku wa kuamkia leo Agosti 21, 2025. Shambulio hilo lilitokea saa 6 usiku katika Kitongoji cha Mwabasambo A na limeelezwa na wenyeji kuwa ni tukio la kihistoria kutokana…

Read More

Ukosefu wa elimu kikwazo cha matumizi ya nishati safi

Mbeya. “Elimu ije kwa wananchi,” ni kauli ya baadhi ya wakazi wa mitaa mbalimbali Wilaya ya Mbeya Vijijini huku wakielezea kikwazo cha kutekeleza mkakati wa Serikali kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Shabaha ya mkakati huo ni kuandaa programu za elimu na uhamasishaji kuhusu nishati safi­ ya kupikia. Wakizungumza na Mwananchi…

Read More

WAZIRI WA UJENZI MHE. ULEGA AIPA KONGOLE ETDCO KWA UTEKELEZAJI BORA MIUNDOMBINU YA UMEME

…………. Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, ameipongeza Kampuni ya ETDCO kwa umahiri na weledi katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi, ukarabati na usambazaji wa miundombinu ya umeme nchini. Aidha, amewasihi viongozi wa Kampuni hiyo kutangaza mchango wao kwa jamii na kutambua kazi kubwa wanayoifanya katika kuimarisha Sekta ya nishati ya umeme. Mhe. Ulega ameyasema…

Read More

Watuhumiwa wa mauaji Ilemela wafikishwa kortini

Mwanza. Watuhumiwa watatu wa mauaji ya Nestory Marcel yaliyotekelezwa Juni 23, 2025, katika eneo la Buganda, Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, wamefikishwa mahakamani. Watuhumiwa hao ni Jacob Odhiambo (36) ambaye ni mfanyabiashara na mkazi wa Buswelu, Abdul Dinisha (29), mfanyabiashara kutoka Nyamhongolo na Erick Olang (37), mfanyabiashara na mkazi wa Igoma. Akisoma hati ya mashtaka…

Read More

Huku kukiwa na uharibifu mkubwa wa mji wa Gaza, mkuu wa UN anafanya upya simu ya kukomesha – maswala ya ulimwengu

“Ni muhimu kufikia mara moja mapigano huko Gaza,” Katibu Mkuu aliwaambia waandishi wa habari pembeni mwa Mkutano wa Tisa wa Kimataifa wa Tokyo juu ya Maendeleo ya Afrika (TICAD9)“”na kutolewa bila masharti ya mateka wote na kuzuia kifo kikubwa na uharibifu ambao operesheni ya kijeshi dhidi ya Gaza City ingeweza kusababisha.“ Karibu watu milioni moja…

Read More

Jalada tukio la mauaji ya mwanafunzi lapelekwa NPS

Arusha. Jalada la mashtaka kuhusu tuhuma za mauaji zinazowakabili wanafunzi 11 limepelekwa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) kwa hatua zaidi. Wanafunzi hao wanatuhumiwa kwa mauaji ya Yohana Konki (17), mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Qash. NPS ndiyo ofisi yenye jukumu la kuamua watuhumiwa washtakiwe kwa kosa lipi. Yohana alizikwa jana,…

Read More