Utata urais wa Mpina, Msajili kuwakutanisha ACT-Wazalendo, Monalisa leo
Dar es Salaam. Sakata la urais wa Luhaga Mpina ndani ya Chama cha ACT-Wazalendo limechukua sura mpya, baada ya Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuziita mezani pande mbili zinazosigana leo Jumamosi, Agosti 23, 2025. Agosti 6, 2025, mkutano mkuu wa ACT-Wazalendo ulimchagua Mpina kuwa mtiania wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025….
SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.
::::::: NA.MWANDISHI WETU – NYANDOLWA SHINYANGA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, salamu za pole kufuatia ajali ya kufukiwa kwa mafundi katika Mgodi wa Dhahabu wa Nyandolwa, iliyotokea tarehe 11 Agosti 2025 katika…
Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD Wahitimishwa Jijini Yokohama
Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development) umehitimishwa jijini Yokohama, Japan, tarehe 22 Agosti 2025, baada ya siku tatu za majadiliano yaliyoendeshwa chini ya kaulimbiu ya “Kuibua Uvumbuzi wa Pamoja na Afrika.” Mkutano huo ulifungwa rasmi na Waziri Mkuu…
MKUTANO WA TISA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI TICAD WAHITIMISHWA JIJINI YOKOHAMA
::::::::: Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development) umehitimishwa jijini Yokohama, Japan, tarehe 22 Agosti 2025, baada ya siku tatu za majadiliano yaliyoendeshwa chini ya kaulimbiu ya “Kuibua Uvumbuzi wa Pamoja na Afrika.” Mkutano huo ulifungwa rasmi na Waziri…
Taifa Stars yaishia njiani kama Kenya
Tanzania imeungana na Kenya zikiwa nchi wenyeji kutupwa nje ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Bao la dakika ya 63 likifungwa na mshambuliaji Oussama Lamlioui akipokea pasi ya kiungo Youssef Belammari limetosha kusitisha matumaini ya…
Wadau: Nishati safi iendane na ubora vifaa vinavyotumika
Dar es Salaam. Wakati nchi ikielekea kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia, wadau wameshauri Shirika la Viwango Tanzania (TBS) liwe na mfumo maalumu wa ukaguzi, ili kubaini vifaa vya kielektroniki vya kupikia visivyo na ubora. Wito huo umefuatia malalamiko kadhaa kutoka kwa watumiaji ambao walipata changamoto ya vifaa hivyo kuharibika mapema, kutokana na kukosa…
OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAAANDAA KONGAMANO LA UCHUMI WA BULU
……………. Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) imeandaa kongamano la kitaifa la uchumi wa buluu ili kuwaleta pamoja wadau kujadili dira ya sekta hiyo. Kongamano hilo litafanyika jijini Dar es Salaam Septemba 10 hadi 11, 2025 na kuwashirikisha washiriki zaidi ya 250 kutoka sekta za uchumi…
Wadau wakutana kitathmini lishe | Mwananchi
Morogoro. Tathmini ya mapambano dhidi ya udumavu na upungufu wa lishe bora hasa kwa watoto chini ya miaka mitano na wajawazito, imebaini uwepo wa changamoto kadhaa ikiwamo uelewa mdogo wa wazazi na walezi. Hayo yamebainika katika kikao cha viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara, wataalamu kutoka sekta mbalimbali pamoja na wadau wa lishe kuhusu…