Gamondi achomoa kikao cha mabosi Yanga

Wakati mabosi wa Yanga wakitawanyika kuashiria kumalizika kikao kizito kilichobeba ajenda za matokeo ya timu hiyo usiku wa kuamkia leo, taarifa zinasema kocha wa kikosi hicho, Miguel Gamondi hakuhudhuria. Yanga jana ilipoteza mchezo wa pili mfululizo wa Ligi Kuu Bara mbele ya Tabora United kwa mabao 3-1, baada ya wiki iliyopita kufungwa kwa bao 1-0…

Read More

Ushindi dhidi ya Coastal wampa jeuri Zahera

USHINDI wa kwanza ilioupata Namungo mbele ya Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara, umemfanya kocha wa timu hiyo kutamba ameanza kupata mwanga baada ya awali kupoteza michezo mitatu mfululizo iliyomvuruga akili. Namungo ikicheza ugenini dhidi ya Coastal kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam ilishinda mabao 2-0 yaliyofungwa na Ritch Nkoli na Pius…

Read More

Tasac yaonya usalama wa vyombo vya majini, yatoa elimu

Geita. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) Mkoa wa Geita, limewatahadharisha wadau wote wa vyombo vya usafiri na wavuvi wanaotumia Ziwa Victoria, kufuatilia taarifa za hali ya hewa kabla ya kuanza safari za majini hususan kipindi hiki chenye mvua nyingi na upepo. Ofisa Mfawidhi wa Tasac Mkoa wa Geita, Godfrey Chegere aliyasema hayo jana…

Read More

Vinywaji vya sukari nyingi hatari kwa mjamzito, mtoto

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wametahadharisha kuhusu ongezeko la matumizi ya vinywaji vyenye sukari nyingi, hususani soda kwa wajawazito, wakieleza ni tishio kwa afya ya mama na mtoto. Tafiti zinaonesha idadi ya wajawazito wanaokunywa soda mara kwa mara inaongezeka hasa mijini kutokana na urahisi wa upatikanaji wake pamoja na dhana kuwa havina madhara makubwa…

Read More

Polisi yathibitisha MC Pilipili amekufa kwa kipigo

Dodoma. Nani kamuua mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias, maarufu MC Pilipili pengine ndio swali linalogonga vichwa vya wengi kwa sasa. Nani amehusika kwenye mauaji yake na kwa nini amefikia hatua hiyo. Swali hilo linatokana na taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kuthibitisha kwamba, kifo cha MC Pilipili kimetokana na kupigwa.   leo Novemba…

Read More

Wanajeshi wa Urusi waingia kwenye kambi ya Marekani ya Niger – DW – 03.05.2024

Tuelekee huko nchini Niger ambako inaripotiwa kuwa wanajeshi wa Urusi wameingia kwenye kambi ya jeshi la anga inayokaliwa na wanajeshi wa Marekani, haya yanajiri baada ya serikali ya kijeshi ya Niger kuamua kuwatimua wanajeshi wa Marekani katika taifa hilo la Afrika Magharibi. Soma zaidi. Mamia waandamana Niger kushinikiza kuondoka kwa vikosi vya Marekani Kwa muda mrefu…

Read More