Bunge la Kenya lapokea hoja ya kumuondosha makamu wa rais – DW – 01.10.2024

Muda mfupi kabla saa 9:00, Spika wa Bunge la Taifa, Moses Wetangula, alifungua kikao ili kuupisha mjadala wa kumtimua Naibu Rais Rigathi Gachagua. ikao kilijaa pomoni na wabunge walishangilia kwa kupiga miguu chini wakati hoja hiyo ilipowasilishwa. Gachagua analaumiwa kwa kumdhihaki Rais William Ruto, kueneza ukabila, kujilimbikizia mali kwa njia za ufisadi na kutumia vibaya…

Read More

Bazecha watoa msimamo mtikisiko wa kisiasa Chadema

Dar es Salaam. Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha) limesema licha ya hamahama ya baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho, uimara wa Chadema sasa ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote. Baraza hilo limetafsiri hatua ya baadhi ya makada wa chama kujivua nyadhifa zao na kuondoka kama hatua mojawapo inayopitiwa na bahari kutema uchafu….

Read More

Wajibu wa mwanaume kununua zawadi kwa mwenza wake

Dar es Salaam. Wakati wanaume wakiona ni wajibu kutoa zawadi kwa wanawake, wao wanasema hilo linatokana na utamaduni uliojengeka kwa muda, hivyo kuwa kama mazoea. Mbali ya hilo, baadhi ya wanawake wanasema isiwe mazoea ya kupokea pekee, bali pia nao watoe, huku ikishauriwa zawadi zitolewe kwa nyakati maalumu kama vile katika sherehe za kuzaliwa ili…

Read More

Anayeandikia miguu awezeshwa kuendelea kidato cha tano

Morogoro. Hamis Nguku, mwanafunzi mwenye ulemavu wa viungo ambaye amekuwa anatumia miguu kuandika, kula, na kufanya shughuli zake nyingine, ameishukuru kampuni ya Mwananchi Communication Limited (MCL) kwa kurusha habari zake, ambazo zilipelekea kupata mfadhili aliyemnunulia mahitaji muhimu ya shule. Nguku, ambaye ni mkazi wa Mlimba katika Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, alipata ufadhili kutoka kwa…

Read More

Ibenge achekelea rekodi mpya kwa Simba

SIMBA bado wanalaumiana kufuatia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC, huku wenzao wanacheka tu na kumfanya kocha Florent Ibenge achekelee  kubadilisha mzimu wa matokeo mabaya dhidi ya Wekundu hao. Iko hivi. Ibenge hajawahi kuifunga Simba ikiwa Tanzania tangu aanze ukocha katika mechi za mashindano walizokutana. Rekodi zinaonyesha, Ibenge amewahi kukutana na Simba mara…

Read More

‘Wachokonozi’ wanashikiliwa na Polisi Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha limethibitisha kuwashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kwa makosa ya kimtandao ambao awali kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambaa taarifa za kudaiwa kutekwa na wasiojulikana. Taarifa hiyo ya Polisi iliyotolewa jana Jumamosi, Juni 21,2025 imewataja watuhumiwa hao kuwa ni Jackson Kabalo (32) na Joseph Mrindoko (37) wajasiriamali na wakazi wa eneo…

Read More

Nyama Choma Festival ilivyofana Butiama

Butiama. Mamia ya Wakazi wa Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamejitokeza katika mashindano uchomaji nyama yaliyozinduliwa kwa mara ya kwanza wilayani huyo. Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi yalizinduliwa jana Juni 6, 2024 katika mnada wa Kiabakari kwa lengo la kuwainua kiuchumi wachoma nyama wadogo mkoani humo. Katika mashindano hayo…

Read More