Mashirika ya Umoja wa Mataifa yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kwani vita vinazidisha hali mbaya – Masuala ya Ulimwenguni

Shambulio jipya la anga la Israel limepiga mpaka wa Joussieh, ambapo watu wengi wa Lebanon na Syria wanavuka ili kuepuka ghasia hizo. “Miundo ya kibinadamu pia imepigwa,” alisema Filippo Grandi, mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi. UNHCRkatika mtandao wa kijamii chapisho Jumamosi mapema. “Hata kukimbia (na kutunza wale wanaokimbia) inakuwa vigumu…

Read More

Big Joe atoa Milioni 100 Vijana wakijue kitabu cha Mufti

Ni July 3, 2024 ambapo Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga promosheni ya kukitangaza kitabu yenye thamani ya Shilingi Millioni 100 kuhakikisha kitabu cha ‘Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe?’ kilichondikwa na Mhe. Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally Mbwana, Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania kinawafikiwa vijana wote Tanzania. “Mkurugenzi au Mwenyekiti wa Clouds Media…

Read More

Viti maalumu udiwani, sura mpya zaibuka Moshi Mjini

Moshi. Mchakato wa kura za maoni kwa nafasi ya madiwani wa viti maalumu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Moshi umekamilika, ambapo sura mpya zimeibuka huku mmoja wa waliokuwa wakishikilia nafasi hizo akipoteza nafasi kwa kushika nafasi ya nane. Uchaguzi huo umefanyika katika Ukumbi wa YMCA Moshi Mjini chini ya usimamizi wa Alhabibi…

Read More

ONGEA NA AUNT BETTIE: Mdogo wangu anamsalandia mke wangu

Habari Aunt, naomba ushauri, mdogo wangu anaonekana wazi kumtaka shemeji yake (mke wangu). Nimesema hivyo kwa sababu naona utani usiokuwa na mipaka umezidi. Nashindwa kumkanya kwa sababu ni mdogo kwangu kiumri. Nifanyeje? …..Unanishangaza, unashindwa kumkanya mdogo wako utamkanya nani tena! Kwanza kabisa unapo pa kuanzia, anza kumkanya mkeo asikubali utani uliopitiliza na shemeji yake, kwa…

Read More

Serikali kushirikiana na sekta binafsi utekelezaji wa miradi.

Wizara ya Ujenzi imeanza utaratibu wa kushirikisha sekta binafsi kwa utaratibu wa ubia (PPP)katika kutekeleza miradi ya miundombinu. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni jijini Dodoma leo, Mei 29, 2024 Amesema ni katika kuipunguzia Serikali gharama kubwa za utekelezaji wa miradi…

Read More