Ikanga Speed anatupia tu DR Congo

UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao. Winga huyo Mkongomani aliyewahi kuitumikia Yanga kwa kipindi kifupi alipotua katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea AS Vita na kuondoka mwishoni wa msimu wa 2024-2025 kwa sasa yupo FC Les Aigles du Congo inayoshiriki…

Read More

Vijana elfu 45 kujikomboa kiuchumi KUPITIA ujasiriamali

Imeelezwa kuwa ukosefu wa ajira Kwa vijana ni chanzo Cha vijana wengi nchini kujiingiza katika vitendo vya kihalifu ikiwemo Wizi,utumiaji dawa za kulevya na magenge yasiyofaa na kupelekea wengine kuishia katika vifungo jela. Katika kukabiliana na changamoto hiyo ya ajira zaidi ya vijana elfu 40 kutoka Dar es Salaam,Morogoro na Zanzibar wanatarajia kunufaika na kujikomboa…

Read More

Usasa unavyoleta janga la lishe duni vijijini

Kigoma. Michael Mbago (61) ni miongoni mwa wazee wanaoumizwa na ulegevu wa vijana wa sasa,  ikiwa ni matokeo ya kula vyakula ambavyo havina tija kwa afya zao. Anasema miaka ya nyuma changamoto hiyo ilikuwa inaonekana zaidi mijini lakini kutokana na utandawazi siku hizi hata vijijini kuna kundi kubwa la watu ambao wana changamoto ya lishe….

Read More