Sababu petroli kushuka, dizeli kupanda Zanzibar

Unguja. Wakati bei ya petroli ikishuka kwa asilimia 0.6, bei ya dizeli imepanda kwa asilimia 5.81 visiwani Zanzibar. Akitangaza bei mpya leo Agosti 8, 2025, Meneja Kitengo cha Uhusiano cha Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), Mbaraka Haji amesema bei hizo zitaanza kutumika kesho Agosti 9, 2025. Kwa mujibu wa…

Read More

Cat Purry Kasino mtandaoni makulipo makubwa

Huenda umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi za kasino. Kazi yako ni kuwakusanya tu. Cat Purry ni sloti ya kasino mtandaoni inayotolewa na Games Global. Katika mchezo huu, utapata bonasi kadhaa. Kuna Bonasi ya Kishindo Kikubwa ambayo inakupa nafasi ya…

Read More

TAASISI YA UDOPRESA YAZINDULIWA UDOM

Mkurugenzi  wa Kitengo  cha Mawasiliano na Masoko Chuo Kikuu cha Dodoma, Bi. Rose Joseph  leo Jumamosi tarehe 24 Mei 2025, katika Ukumbi wa LT2  (CHSS)  UDOM amefanya  Uzinduzi wa Taasisi ya Wanafunzi wanaosomea Uandishi wa Habari na Uhusiano wa Umma Chuo Kikuu cha Dodoma – The University of  Dodoma Public Relations Students Association (UDOPRESA) yenye…

Read More

RUWASA YATAMBULISHA MRADI WA MAJI WA WANANCHI NYASA

Na Mwandishi Wetu, Nyasa WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma, umetambulisha kwa Wananchi mradi wa maji wenye thamani ya zaidi ya Tsh Milioni 962.7 unaokwenda kutekelezwa katika vijiji viwili vya Lumeme na Mbanga ili kutatua kero ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na Salama katika Vijiji…

Read More

Pikipiki kutumika kufuatilia maeneo yenye matishio kiafya

Dodoma. Maofisa 12 wa vituo vya ufuatiliaji wa magonjwa kwenye Mfumo wa Ufuatiliaji na Majibu ya Magonjwa (IDSR) wamepatiwa pikipiki. Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kulinda jamii zinazoishi katika maeneo ambayo magari hayawezi kufika dhidi ya matishio ya kiafya. Mfumo wa IDSR unahusisha usimamizi wa taarifa kwa kutambua, kutoa taarifa, kupanga vipaumbele na kuthibitisha iwapo tukio…

Read More