TGNP yasherehekea miaka 30 ya Beijing, yahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi kwenye uchaguzi ujao

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umesherehekea miaka 30 ya Beijing katika kongamano la wanawake na uongozi Dar es Salaam leo huku ukihimiza umuhimu wa wanawake kuendelea kujitokeza kwa wingi  katika uchaguzi mkuu ujao kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Lilian Liundi amesema wanayo furaha kuona uchaguzi wa serikali za…

Read More

Superheli Kukuzawadia Samsung A25 Mpya – Global Publishers

Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi, kama unataka kushinda Samsung A25 mpya kupitia kwenye promosheni yao mpya ya mwezi Juni unatakiwa kucheza mchezo pendwa wa kasino wa Superheli leo. Je unajua Superheli ni nini? Superheli ni mchezo mojawapo wa Kasino ambao unapatikana Meridianbet ambao una mandhari ya helikopta ambao ukiweka dau lako na kucheza…

Read More

Askofu Mndolwa: Katiba ifuatwe uchaguzi mkuu ni muhimu, usiahirishwe

Mbeya. Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana nchini, Dk Maimbo Mndolwa amesema uchaguzi mkuu usiahirishwe kama baadhi ya watu wanavyosemasema, badala yake changamoto zilizopo zifanyiwe kazi ili kuliepusha Taifa kuingia kwenye mgogoro wa kikatiba. Pia, amewaasa wanasiasa kutotenganishwa na uchaguzi badala yake watumie nafasi hiyo kuunganishwa akieleza kuwa yapo maisha baada ya kazi hiyo kukamilika. Askofu…

Read More

Job Ndugai afariki dunia, atakumbukwa kwa haya

Dodoma. Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amefariki dunia jijini Dodoma, Taarifa ya Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, aliyoitoa leo Jumatano, Agosti 6, 2025, imesema: “Kwa masikitiko makubwa, naomba kutoa taarifa ya kifo cha kiongozi wetu, mwanasiasa mkongwe na Spika mstaafu wa Bunge, Job Ndugai, kilichotokea leo jijini Dodoma.” “Natoa pole…

Read More

Wadau wakutana kujadili rasimu ya maendeleo

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) limekutana na wadau mbalimbali ili kupokea maoni ya rasimu ya maendeleo ya viwanda yatakayowezesha kufikia malengo, shabaha na kutekeleza mikakati ya kuendeleza sekta ya viwanda nchini. Baadhi ya maoni yaliyopokelewa  kwenye kikao hicho ni pamoja na masuala ya umeme, malighafi, teknolojia, kodi na rasilimali watu. Akizungumza…

Read More

Marekani yajitenga na safari ya anasa ya Rais Ruto

Nairobi. Serikali ya Marekani imefafanua kuwa haijaidhinisha malipo ya ndege binafsi ya Rais wa Kenya, William Ruto kwenda Marekani. Rais Ruto ameanza ziara ya kiserikali ya siku nne nchini Marekani. Aliondoka nchini Kenya Jumapili, Mei 19, 2024. Katika mujibu wa taarifa ya leo Jumanne, Mei 21, 2024, Msemaji wa Ubalozi wa Marekani jijini Nairobi, Andrew…

Read More

Mauwasa yaanza kurejesha vyanzo vya maji New Sola

Maswa. Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Maswa (Mauwasa) imeanza kuchukua hatua za kurejesha maeneo yote yaliyovamiwa na shughuli za kibinadamu katika baadhi ya vyanzo vyake vya maji, ikiwemo mito iliyochepushwa. Vyanzo hivyo hupeleka maji katika bwawa la New Sola, ambacho ni chanzo kikuu cha maji kwa wakazi wa mji wa Maswa. Mkurugenzi Mtendaji…

Read More