Fufuni yaichimba mkwara Simba, kocha ajilipua

MABINGWA mara nne wa Kombe la Mapinduzi, Simba SC, imeambiwa ije kwa tahadhari kushiriki mashindano hayo kwani ratiba ya mechi zao mbili hatua ya makundi hazitakuwa rahisi. Simba iliyopo Kundi B, imetumiwa salamu hizo na wapinzani wake, Fufuni na Muembe Makumbi City ambazo zilipokutana Desemba 29, 2025, matokeo yalikuwa 1-1. Kocha Msaidizi wa Fufuni, Suleiman…

Read More

Vohra, Karan waitwa Guru Nanak Rally

CHAMA kinachosimamia mchezo wa mbio za magari nchini (AAT) kimemtangaza dereva Ahmed Huwel kuwa kinara wa msimamo wa mbio za kusaka taji la taifa kwa mwaka huu. Kwa mujibu wa msimamo wa AAT, Huwel, ambaye ameingia na gari isiyokamatika ya Toyota Yaris, anaongoza akiwa na pointi 105 na kumuacha mpinzani wake wa karibu, Randeep Singh…

Read More

TASAF WASHIRIKI KONGAMANO LA UTUATILIAJI, TATHIMINI ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu BAADHI ya Watumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wameshiriki Kongamano la tatu la ufuatialiaji na tathimini unaofanyika Zanzibar na kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali. Mbali na watumishi hao, pia walengwa na wanufaika wa mfuko huo walishiriki maonyesho ya bidhaa mbalimbali kwenye kongamano hilo. Akizungumza wakati wa kongamano hilo, Mtaalam wa…

Read More

Tunavyovuruga familia kwa kukana mila na desturi zetu

Kama kuna kitu huwa kinanisumbua kukielewa ni hizi zinazoitwa mila potofu. Hivi ukisema mila potofu unakuwa na maana gani? Natambua kuwa kuna baadhi ya mambo yalifanywa na wazee waliotutangulia na huenda yakawa na changamoto ukiyatazama kwa jicho la ‘sisi tulioelimika’. Hata hivyo, najaribu kujenga hoja kuwa mengi tunayoyatupa ni vile hatujataka tu kuyaelewa. Tumetumia miwani…

Read More

Tajiri aingilia dili la Mpanzu Simba

RAIS wa Klabu ya AS Vita, Amadou Diaby amekutana na winga wa kikosi hicho, Elie Mpanzu Kibisawala ili kumshawishi aendelee kubaki ndani ya timu hiyo baada ya hivi karibuni kuhusishwa kuhitajika na miamba wa soka nchini, Simba. Winga huyo ni miongoni mwa wachezaji wanaohitajika na Simba katika dirisha hili la usajili ili kuboresha kikosi hicho…

Read More

Je, Uhuru wa Kisayansi Unaleta Maendeleo kwa Afrika? – Masuala ya Ulimwenguni

Lidia Brito, Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Sayansi Asilia wa UNESCO. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (addis ababa) Alhamisi, Julai 18, 2024 Inter Press Service ADDIS ABABA, Julai 18 (IPS) – Utafiti wa kisayansi umesababisha mafanikio ya kijamii na kiuchumi duniani kote, lakini wanasayansi wanaofanya hivyo wanakabiliwa na changamoto kubwa. Sayansi inakuza maendeleo, lakini wanasayansi…

Read More