KATIBU MKUU MRAMBA AKUTANA NA KAMPUNI YA NYUKLIA YA CHINA

…………… 📌 Wajadili ushirikiano katika kuzalisha umeme wa nyuklia nchini 📌 Watanzania kujengewa uwezo katika masuala ya nyuklia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba ameongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika kikao na Shirika la Taifa la Nyuklia la China (China National Nuclear Corporation – CNNC), kujadili fursa za ushirikiano katika kuanzisha…

Read More

Mke amkata uume mumewe Manyara, wivu wa mapenzi watajwa

Hanang. Mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Kidangu, kata ya Endagaw, wilayani Hanang mkoani Manyara, Veronica Muhale (40), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kudaiwa kumjeruhi mume wake Josephati Kasi (45) kwa kumkata kwa kisu na kuondoa sehemu zake za siri. Mwenyekiti wa kitongoji cha Maweni, Mohamed Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari leo …

Read More

Wenye ulemavu waonya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda nchini, Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Viungo nchini (CHAWATA) Mkoa wa Mbeya kimesema amani na usalama unahitajika kuliko kitu kingine kwani hali ikichafuka wao ndio waathirika wa kwanza.  Pia, kimeomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi kutoa fursa kwa watu wenye ulemavu wa viungo ili kupata wawakilishi watakaoweza…

Read More

Samia aahidi neema kwa wakulima

Mbinga. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwa, endapo atapata ridhaa ya kuongoza miaka mingine mitano Serikali itafanya jitihada za kuimarisha masoko ya mazao na kuendelea kutafuta bei bora ili mkulima afaidike na nguvu zake. Samia ametoa ahadi hiyo leo Septemba 21, 2025 wakati wa mkutano wake wa kampeni uliofanyika…

Read More

Nasser bingwa Africa, Patel Mkwawa Rally

DEREVA Mtanzania, Yassin Nasser na msoma ramani Mganda, Ally Katumba ndio mabingwa wa Afrika kwa mwaka 2025 licha ya kumaliza nafasi ya tatu katika raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari wa Afrika zilizomalizika jana Jumapili. Dereva huyo aliyekuwa akiendesha gari aina ya Ford Fiesta R5 alimaliza nafasi ya tatu kwa upande wa…

Read More

Nyoni ameona kitu kwa Maema

NEO Maema ni mmoja wa nyota wapya waliosajiliwa msimu huu na Simba akitokea Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, lakini bado hajaonyesha maajabu ila kuna staa mkongwe, Ersto Nyoni ameshindwa kuvumilia na kusema jamaa ana kitu mguuni. Nyoni aliyewahi kuitumikia Simba, Azam na Namungo, amesema ili Msimbazi ifaidike na kiwango cha kiungo mshambuliaji huyo Msauzi ,…

Read More

Mtanzania anyakua tuzo Misri | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Oscar Evalisto anayekipiga Makadi FC ya Misri ameibuka na tuzo ya mchezaji bora wa mechi dhidi ya Maraga FC akisema zawadi hiyo ni maalumu kwa baba yake mzazi aliyefariki dunia wiki iliyopita. Huu ni msimu wa pili kwa mshambuliaji huyo kuitumikia Makadi. Msimu uliopita alicheza miezi sita akitokea Mlandege na aliwahi kupita…

Read More