Mtaalamu wa Lishe Afichua Matunda Yasilofaa Kula Asubuhi

Mtaalamu wa lishe, Nichola Ludlam-Raine, amefichua aina ya matunda ambayo hayapendekezwi kuliwa mara kwa mara wakati wa kifungua kinywa, akieleza kuwa baadhi ya matunda maarufu yana kiwango kikubwa cha sukari asilia kuliko watu wanavyofahamu. Akizungumza na The Telegraph, Ludlam-Raine alifanya tathmini ya matunda 18 yanayopendwa nchini Uingereza, akiyapima kulingana na virutubisho kama vitamini na madini,…

Read More

Jinsi Kyrgyzstan ilivyounda mfumo wa kusaidia walionusurika na unyanyasaji wa majumbani – Masuala ya Ulimwenguni

Bübyusara Ryskulova amekuwa kwenye mstari wa mbele kwa zaidi ya miongo mitatu. Rais wa heshima wa kituo cha mgogoro Sezim (ambayo ina maana ya “hisia”), amefanya kazi kusaidia wanawake na watoto ambao walinusurika na unyanyasaji. Wakati Kyrgyzstan imepata maendeleo makubwa katika kuimarisha ulinzi dhidi ya unyanyasaji wa nyumbani na familia, changamoto bado zipo, aliiambia Habari…

Read More

Straika JKU akoleza ZPL moto mbio za ubingwa

SAFU ya ushambuliaji ya timu ya JKU inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) imeendelea kujiwekea mikakati kabambe kuhakikisha taji linarudi msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Hilali Nassor amesema JKU ipo Ligi Kuu Zanzibar kwa ajili ya kupambania ubingwa na sio kushiriki. Alisema ndio maana kila mchezaji wa timu hiyo kipaumbele chake…

Read More

Nsajigwa afuta mapumziko Prisons | Mwanaspoti

KOCHA wa Prisons, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, amesema kuwa kikosi hicho hakitakuwa na muda wa mapumziko kwani anahitaji kufanyia kazi eneo la utulivu kwa wachezaji wake. Nsajigwa alichukua nafasi hiyo baada ya klabu hiyo kuachana na Zedekiah Otieno kufuatia mfululizo wa matokeo mabaya, kwa sasa ameiongoza timu hiyo katika mechi tatu za Ligi Kuu. Tangu akabidhiwe…

Read More