
Dkt. Ndumbaro Apongeza Kasi ya OCPD Kutafsiri Sheria 300 kwa Kiswahili
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) imetafsiri sheria 300 kati ya sheria 446 kutoka lugha ya kiingereza kuwa kiswahili katika kipindi cha miezi sita cha mwaka 2025 ambapo Sheria 146 zilizozobakia zinatarajiwa kutafsiriwa katika bajeti ya mwaka fedha 2025/2026 ili wananchi wanapozisoma wazielewe. Ameyasema hayo leo Julai 11,2025…