Unayopaswa kujua kuhusu mkutano wa wakuu wa nchi wa nishati
Kesho, Januari 28, 2025, wakuu wa nchi wa Afrika watajumuika na viongozi wa sekta binafsi, washirika wa maendeleo, na jamii ya kiraia kwa ajili ya Mkutano wa Nishati wa Mission 300 Afrika. Mkutano huo utazungumzia upatikanaji wa umeme barani Afrika na kuweka mikakati ya kutekeleza mageuzi ya sekta ya nishati katika eneo hilo. Mkutano huo…