Samia abainisha maeneo manne ya kukomboa wananchi wa Karagwe

Karagwe. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendeleza mapinduzi ya maendeleo katika Wilaya ya Karagwe kupitia maeneo manne ambayo ni huduma za kijamii, uwezeshaji wa wananchi kiuchumi, ukuaji wa sekta za uzalishaji, na uboreshaji wa miundombinu. Akihutubia maelfu ya wananchi wa Karagwe,…

Read More

Luvanga apata dili za Marekani

NYOTA wa kimataifa, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Saudia huenda msimu ujao akaibukia Marekani baada ya kuanza mazungumzo na moja ya timu za nchini humo. Ikumbukwe Clara msimu uliopita, Nassr inayomiliki pia timu ya Ligi Kuu ya Saudia kwa wanaume anayoichezea Cristiano Ronaldo ilivunja mkataba wa straika huyo na Dux Lugrono ya Hispania ikiwa…

Read More

MSIPOTOSHWE MAGARI YA ZIMAMOTO YANA MAJI – NYABWINYO.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ruvuma limewataka wananchi kupuuza uvumi kuwa magari ya zimamoto hufika kwenye matukio bila maji, na kusisitiza kuwa magari hayo huandaliwa kikamilifu kwa ajili ya kukabiliana na majanga ya moto. Kaimu Kamanda wa Jeshi hilo Mkoa wa Ruvuma, Melania B. Nyabwinyo, alitoa ufafanuzi huo wakati wa bonanza maalum kwa…

Read More

Waziri Makamba awaasa Marekani kuliishi Azimio la Uhuru

Katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 248 ya Uhuru wa Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.), ameishukuru na kuipongeza Marekani kwa mchango wake katika maendeleo ya Tanzania huku akiwasihi kukumbuka na kuenzi yale waliyoazimia Julai 4, 1776. Waziri Makamba amezungumza hayo akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika…

Read More

Elimu ya Amani, Uzalendo na Mazingira Ifundishwe Shuleni: Mgeja – Global Publishers

Mgeni rasmi Comrade Khamis Mgeja akizungumza kwenye mahafali hayo. Shinganga: 20 Oktoba 2025, Mwenyekiti Mstaafu wa CCM mkoa wa Shinyanga na taasisi ya Tanzania Mzalendo Foundation Bw. Khamis Mgeja ameishauri na kuiomba  wizara ya elimu nchini ifikirie kuona umuhimu namna gani ya kuweza kuanzisha masomo ya amani, uzalendo na mazingira mashuleni kuanzia madarasa ya awali…

Read More

TRA yajizatiti huduma kwa wafanyabiashara wadogo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wadogo na wa kati mkoani Dar es Salaam wametakiwa kuchangamkia dawati la uwezeshaji biashara lililozinduliwa likilenga kuimarisha biashara zao. Dawati hilo limezinduliwa leo Septemba 27, 2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Dawati hilo…

Read More

Uchaguzi Afrika Kusini waiweka ANC njiapanda

Johannesburg. Uchaguzi wa Afrika Kusini ukiwa umekamilika baada ya kuchagua wabunge 400, kwa mara ya kwanza katika miaka 30 ya utawala wa kidemokrasia, hakijapatikana chama kinachoweza kuunda Serikali pake yake. Mtihani mgumu upo kwa Chama tawala cha African National Congress (ANC) kilichopata asilimia asilimia 40.18, baada ya kunyakua viti 159 katika Bunge la Taifa, kwa…

Read More