Askofu Shao: Amani isiwe mdomoni tu

Dodoma. Askofu wa Jimbo Katoliki Zanzibar, Augustino Shao amesema amani ya kweli haiwezi kupatikana bila haki, akisisitiza kwamba mioyo ya watu wengi inavuja kwa kukosa haki licha ya kuonekana wametulia. Askofu Shao amesema hayo leo leo Jumapili Septemba 29, 2025 wakati akihubiri kwenye misa ya Sakramenti ya Kipaimara, katika Parokia ya Kivule, Jimbo Kuu Katoliki…

Read More

Nafasi ya Kuondoka na Ushindi Iko Hapa

BAADA ya kushuhudia mechi kibao za ligi wikendi zikichuana vikali, sasa ni zamu ya kutusua kijanja na Meridianbet siku ya Jumatatu. Timu kibao zipo uwanjani leo. Je beti yako unaiweka wapi leo? EPL pale Uingereza kuendelea kwa mechi moja kali kabisa kati ya Newcastle United vs Liverpool ya Arne Slot. Meridianbet wanampa Liver nafasi kubwa…

Read More

Dickson Job nje miezi miwili Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amethibitisha kwamba, nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job, hatakuwa sehemu ya mechi ya kesho Alhamisi dhidi ya Singida Black Stars kufuatia kuumia enka. Kwa mujibu wa Pedro, Job aliyeumia enka katika Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba iliyomalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana wikiendi iliyopita, anatarajiwa kuwa nje…

Read More

Ripoti za madhara ya dawa, chanjo zafikia 10,000

Mwanza. Idadi ya ripoti za maudhi na madhara yatokanayo na matumizi ya dawa, chanjo, vifaa tiba na vitendanishi nchini imeongezeka kwa kasi, kutoka ripoti 200 mwaka 2020 hadi zaidi ya 10,000 kwa mwaka, kwa mujibu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA). Kwa mujibu wa TMDA, ongezeko hilo linatokana na uhamasishaji uliofanyika kwa watumiaji na…

Read More

Uhamisho na vifo vya raia vinaongezeka katika eneo lote – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Ibarra Sánchez Nyumba zilizoharibiwa kusini mwa Lebanon. (picha ya faili) Ijumaa, Machi 13, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Kuongezeka kwa uhasama katika Mashariki ya Kati kunaendelea kusababisha vifo vya raia, kuhama kwa watu wengi na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu. Mapigano katika mpaka wa Israel-Lebanon yameongezeka, huku mamilioni ya watu katika eneo hilo…

Read More