Mstaafu mfichwa maradhi anapoumbuliwa Kinondoni

Siku chache zilizopita, mstaafu wetu wa Taifa, amemsikia waziri wetu mmoja wa siri-kali  akijibu swali lililoulizwa bungeni kuhusu wazee na  likamfanya kuamini kweli sasa  matibabu ya bure kwa wazee wa miaka 60 na zaidi, yameishia kuwa maneno kwenye kanga tu. Mstaafu wetu siku zote amekuwa akiamini maneno ya wahenga wetu kuwa,  mficha maradhi kifo kitamuumbua, …

Read More

Baada ya ndoo, Simba yataka unbeaten WPL

LICHA ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) akiwa na mechi mbili mkononi, kocha wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi, amesema taji halitoshi, kwani kiu waliyonayo ni kumaliza msimu bila kupoteza mchezo wowote. Simba ilitwaa ubingwa huo juzi baada ya kuifunga Alliance Girls mabao 3-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, ikirejesha taji…

Read More

Wabunge wafurahishwa na mitalaa mipya UDSM

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepongeza hatua ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ya kufanya mapitio ya mitalaa ili kukidhi matakwa ya soko la ajira. Hatua hiyo imeelezwa itatatua changamoto ya wahitimu wa vyuo vikuu kukosa ajira kwa kile kinachodaiwa kuwa hawaajiriki. Leo Jumanne Septemba…

Read More

Sababu Ramaphosa kuzimiwa kipaza sauti akihutubia UN

New York. Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amezimiwa kipaza sauti kwenye mkutano maalumu wa kujadili umuhimu wa kuanzishwa taifa huru la Palestina, baada ya kuelekeza mashambulizi dhidi ya Israel akidai inachofanya Gaza ni mauaji ya kimbari. Pia, alifananisha mateso ya Wapalestina wanayofanyiwa na Israel na waliyoyapata Waafrika Kusini wakati wa utawala wa ubaguzi wa…

Read More

Katibu Mkuu Viwanda na Biashara aiagiza Menejimenti ya WMA kutekeleza maono ya Rais Samia

-Akabidhi magari kuboresha utendaji kazi -Azindua Jarida maalum kupanua wigo uhabarishaji umma Veronica Simba – WMA, Pwani Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah ameitaka Menejimenti ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutekeleza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzingatia utendaji kazi wenye weledi, ubora na viwango ili kupata matokeo chanya katika…

Read More

FYATU MFYATUZI: Hongereni mafyatu kwa kumpenda Mama

‘Mwanafalsafa’ maarufu wa Uganda, alhaj, Doktari, field Marshall, profedheha Idi Amin Kaidada Oumee aliyepata elimu yake mtaani, aliwahi kusema kuwa lazima watawaliwa wawapende watawala bila kujali lolote au wanawatweza vipi. Lazima wawasifie hata wakikosea. Wawachekee hata kama wanapaswa kulia. Wawaabudu ikibidi hata kama wao si Mungu. Kwani, kufanya hivyo, huleta ‘amani na maendeleo’ hata kama…

Read More

Lema alia na makundi ndani ya Chadema Kilimanjaro

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbess Lema amewataka wanachama Mkoa wa Kilimanjaro kuvunja makundi ili kukipigania chama hicho na kukivusha hatua moja kwenda nyingine. Lema amesema hayo alipozungumza kwenye mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro uliofanyika jana Jumanne Novemba 12, 2024. Amesema ni…

Read More