Lissu: Mimi ni mshitakiwa wa uhaini sio mwenzenu
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama iwaamuru mawakili wa Jamhuri kumtambulisha yeye kama mshitakiwa na sio mwezao. Amesema kuwa yeye ni mshitakiwa wa makosa ya uhaini hivyo, anapaswa kuitwa hivyo na sio mawakili hao kumuita mwenzao. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini katika Mahakama Kuu…