Hili hapa Chama la Baum Ujerumani

WIKI zilizopita RB Leipzing ilimtambulisha kiungo Lisa Baum ambaye ana asili ya nchi mbili Tanzania na Ujerumani. Baum ambaye mara kadhaa aliwahi kusema anatamani kuitumikia timu ya taifa ‘Twiga Stars’ alijiunga na chama hilo akitokea Hamburger SV ya Ujerumani. Katika misimu miwili aliyoitumikia Hamburger SV ya Ligi daraja la kwanza alifunga mabao 10 kwenye mechi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Afrika Mashariki tuitendee haki Chan

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf), Patrice Motsepe hivi karibuni alitangaza habari njema ambayo nchi za Tanzania,  Kenya na  Uganda hapana zingeifurahia. Motsepe alitangaza fainali za mataifa ya Afrika zinazohusisha wachezaji wanaocheza katika Ligi za Ndani (Chan) zitafanyika mwakani katika nchi hizo kuanzia Februari Mosi hadi 28 mwakani. Hiyo inakuwa ni mara ya tatu…

Read More

Trump kutumia ‘jeshi’ kuwaondoa wahamiaji

Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amemtangaza Tom Homan, aliyekuwa mkurugenzi wa Idara ya Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE), kuwa msimamizi mkuu wa mpango wa kuwarejesha wahamiaji wote walioingia Marekani kinyume cha sheria. Pia, Homan atakuwa na jukumu la kusimamia mipaka ya Marekani, ikiwa ni pamoja na ile ya kusini, kaskazini, baharini na usalama…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Nahimana anajiandaa kusepa Namungo

KIPA wa kimataifa wa Burundi, Jonathan Nahimana anayeidakia Namungo huenda msimu ujao asiwe sehemu ya kikosi hicho baada ya kukichezea kwa miaka minne. Inaelezwa Namungo haina mpango wa kumwongeza mkataba Nahimana ambaye aliichezea mechi 34 na mwenyewe ameanza kufikiria maisha mapya nje ya timu hiyo ya Kusini mwa Tanzania. Namungo inatajwa kumalizana na kipa wa…

Read More

Serikali yamkataa hakimu kesi za ACT-Wazalendo, mwenyewe kutoa uamuzi leo

Kigoma. Serikali imemkataa hakimu anayesikiliza mashauri mawili ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyofunguliwa na chama cha ACT-Wazalendo katika Mahakama ya Wilaya ya Kigoma. Kutokana na maombi hayo ya kumtaka ajiondoe kwenye mashauri hayo, hakimu huyo, Katoki Mwakitalu, atatoa uamuzi wake leo, Jumatatu, Februari 17, 2025. Katika maombi hayo, mawakili wa Serikali wamemkataa Hakimu Mwakitalu,…

Read More

Aweso aja na kampeni kutatua changamoto ya maji

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametaja sababu tatu za kuanzisha Kampeni ya ‘Dawasa mtaa kwa mtaa, njoo tukuhudumie’ ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wananchi kwa kuondoa lawama na manung’uniko na kuwapatia huduma ya maji safi na salama. Kampeni hiyo itakayosambaa nchi nzima inalenga kuwa karibu na wananchi, ili wawe huru kutoa maoni yao…

Read More

Matano mambo magumu Fountain | Mwanaspoti

HALI ni mbaya kwa Kocha Mkuu wa Fountain Gate, Mkenya Roberto Matano baada ya kikosi hicho kuchapwa juzi bao 1-0, dhidi ya Dodoma Jiji, na kuifanya timu hiyo kufikisha jumla ya michezo minane ya Ligi Kuu bila ya kuonja ladha ya ushindi. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma, wenyeji walipata bao la…

Read More