Mpina alikataa shangingi la INEC akiteuliwa kuusaka urais

Dar es Salaam. Wakati Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akiteuliwa rasmi kuwania nafasi hiyo, Chama hicho kimelikataa gari jipya aina ya Toyota LandCruiser GX VXR lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya kampeni za urais. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele, akizungumza leo Jumamosi…

Read More

Njia anayopitia Mpina kuliendea sanduku la urais

‎‎Dar es Salaam. Jana, Ijumaa, Septemba 26, 2025, Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma ilimpa kibali, Luhaga Mpina, kufungua shauri kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa kubatilisha uteuzi wake wa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. Katika uamuzi uliotolewa na Jaji Wilbert Chuma, ameelekeza Mpina kufungua shauri hilo ndani ya siku 14, kuanzia…

Read More

Wikiendi kuna vita ya BDL All Star

WACHEZAJI nyota wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuonyeshana kazi Septemba 13, kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD) kupitia Kurugenzi ya Ufundi na Mashindano, imeeleza timu zitaundwa kwa mfumo wa kanda ya Mashariki na kanda…

Read More

MWANAISHA MNDEME AJITOSA RASMI KUGOMBEA UBUNGE KIGAMBONI KUPITIA ACT-WAZALENDO

Wakili na mwanaharakati wa haki za kijamii, Mwanaisha Mndeme, leo ameonesha dhamira yake ya kuwatumikia wananchi wa Kigamboni kwa kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Zoezi hilo limefanyika katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na kushuhudiwa na wafuasi wake waliokusanyika kwa hamasa kubwa kuonyesha mshikamano na matumaini…

Read More

INEC YAKANUSHA MADAI YA KUUNGANISHWA MFUMO WAO NA NIDA

 :::::::: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) imekanusha madai yanayosambaa mitandaoni kwamba mfumo wake wa uchaguzi umeunganishwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) na chama cha siasa.  Katika taarifa yake ya Leo Jumamosi, INEC imesema madai hayo ni ya uongo na upotoshaji, ikisisitiza kuwa mfumo wa uchaguzi nchini unatumia njia za…

Read More

SERIALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KUENDELEZA SAYANSI,TEKNOLOJIA NA UBUNIFU KWA VIJANA

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Nombo amesema kuwa Serikali itaendeleza msimamo thabiti wa kujenga mazingira wezeshi kwa sayansi, teknolojia na ubunifu wa vijana. Akizungumza leo Dar es Salaam kwa niaba ya Profesa Nombo, Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Charles Kihampa,  wakati wa Maonesho ya 15 ya…

Read More

Tusua Kibingwa na Meridianbet Siku ya Leo

BAADA ya wikendi kushuhudia mitange kibao ya pesa, hatimaye leo hii tena ni nafasi nzuri ya wewe kutengeneza jamvi lako la ushindi. Mechi kibao zinakusubiri wewe, weka dau lako na uanze safari yako ya ushindi sasa. LALIGA leo hii kuna mechi moja kali ya kupiga mkwanja ambapo Espanyol Barcelona atakuwa mwenyeji wa RCD Mallorca huku…

Read More

Morocco aipania Gaborone, aahidi kuivusha Simba

KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema anatarajia mechi ngumu na ya ushindani lakini wapo tayari kuhakikisha timu hiyo inavuka kwenda hatua inayofuata bila ya kuangalia walichovuna ugenini. Morocco amepewa jukumu la kuiongoza Simba katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana itakayochezwa kesho Jumapili kwenye…

Read More