Kocha Singida apewa malengo mazito

UNAWEZA kuona kama mapema hivi lakini sio kwa Singida Black Stars baada ya kumshusha kocha Hamid Miloud na kumwambia anatakiwa kuhakikisha timu inashiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Kocha huyo ambaye ametambulishwa rasmi juzi, amewahi kuifundisha Al-Khaldiya FC, USM Alger na JS Kabylie za kwao Algeria, Al-Salmiya ya Kuwait, Athletico Marseille na ES Vitrolles za…

Read More

Yanga Princess haijakata tamaa WPL

KIRAKA wa Yanga Princess, Wema Maile amesema kama wachezaji hawatamani kupata matokeo wanayopitia sasa hivi na watafanya vizuri mechi zijazo. Yanga haijaonja ushindi wowote tangu ligi ianze, ikianza sare ya 1-1 na Bunda Queens, 0-0 Alliance, 1-1 na Mashujaa Queens na kupoteza dhidi ya Simba kwa bao 1-0. Akizungumza juu ya mwenendo wa timu hiyo,…

Read More

Vikosi vya Urusi vyadai kutwaa udhibiti ngome ya Ukraine – DW – 20.05.2024

     Watu wawili wamekufa kufuatia shambulizi la Urusi katika miji ya Kherson na Zaporizhia iliyopo kusini mwa Ukraine. Urusi imeendeleza mashambulizi yake huku ikitangaza kuchukua udhibiti kamili katika eneo la Ukraine la Bilohorivka ingawa Ukraine inadai kwamba wanajeshi wake wapo katika hatua nzuri ya mapamabano katika maeneo hayo ya mpakani. Soma zaidi.Mashambulizi ya Urusi yawaua watu…

Read More

Simbachawe ataja umuhimu wapinzani kukosoa, atoa angalizo

Rorya. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema hakuna sababu ya viongozi wa Serikali na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kukasirika pale vyama vya upinzani vinapowakosoa kwani kwa kufanya hivyo, vyama hivyo vinatimiza takwa la kikatiba. Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano, Oktoba 2, 2024 kwenye…

Read More

BARRICK YAWEZESHA WANAFUNZI MZUMBE KUPATIWA UTAMBUZI WA FURSA KUPITIA KONGAMANO LILILOANDALIWA NA AIESEC

  Afisa Rasilimali Mwandamizi wa Barrick nchini Emmanuel Msacky,akiongea na Wanafunzi katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Afisa Rasilimali Mwandamizi wa Barrick nchini Emmanuel Msacky,akiongea na Wanafunzi katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC Wafanyakazi wa Barrick…

Read More