Video: Marekani Yatingisha Iran, Trump Aonya Kabla ya Mazungumzo
Last updated Jan 14, 2026 Rais wa Marekani, Donald Trump amerudia maonyo yake ya kutaka kuingilia masuala ya Iran, akisema anaweza kuchukua hatua kabla ya kukutana na maafisa wa Iran kwa kuwa nchi hiyo imevuka mstari mwekundu. Trump hajasema ni hatua gani anazokusudia kuchukua na alipoulizwa jana Jumatatu afafanue Iran imevuka…