2025 haukuwa mwaka wa Simba

LICHA ya kuonyesha kiwango bora Simba imemaliza msimu ikiwa mikono mitupu, bila kutwaa taji lolote katika mashindano yote iliyoshiriki jambo linalozua maswali mengi miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo. Katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba ilimaliza katika nafasi ya pili nyuma ya watani wao wa jadi, Yanga, waliotwaa ubingwa kwa mara ya nne mfululizo. Hili…

Read More

Mourinho apewa mwaka Yanga PrIncess

MWANZONI mwa mwezi huu tuliripoti, ishu ya Kocha Mkuu wa Yanga Princess, Mzambia Charles Haalubono anatarajiwa kutimka kikosini hapo na kumpisha Edna Lema ‘Mourinho’. Sasa habari za uhakika ni kwamba baada ya mazungumzo ya muda mrefu hatimaye Mourinho amekubaliana na viongozi wa timu hiyo kuinoa kwa msimu ujao. Mmoja wa viongozi wa Yanga (jina tunalo)…

Read More

Simulizi jinamizi la ajali kwa maeneo haya Mbeya

Mbeya. Wakati zikiripotiwa ajali zinazoua makumi ya watu katika Mlima Iwambi jijini Mbeya, wakazi wa Mtaa wa Ndejele uliopo eneo hilo, wamesimulia namna walivyochoka kuokota maiti za ajali mara kwa mara, huku wakiitaka Serikali kuchukua hatua. Wamesema eneo hilo limekuwa hatari kwa ajali za mara kwa mara zinazohusisha pikipiki, bajaji, hiace na magari ya abiria…

Read More