Serikali yakaa mezani na benki kujadili madeni makandarasi

Dar es Salaam. Baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa makandarasi mbalimbali juu ya kucheleweshwa kwa malipo yao, Serikali imesema imeanza mazungumzo na taasisi za kifedha ili kuagalia namna ya kuwasaidia ikiwemo kupunguza madeni inayodaiwa. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa alipokuwa akihutubia  katika maadhimisho ya siku ya…

Read More

Folz anahesabu saa Yanga, ishu ipo hivi

ZILE kelele za mashabiki wa Yanga kwamba hawamuelewi kocha wa timu hiyo, Romain Folz huku wakisisitiza wanataka aondoke kwani timu imepoteza utambulisho wa soka la kuvutia, jambo limekuwa jambo na muda wowote inaweza kutolewa taarifa kwa umma. Tangu kuanza kwa kelele hizo, kulikuwa…

Read More

MBUNGE KIGUA ATAKA LAMI BARABARA INAYOUNGANISHA MIKOA MITANO

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bungeni Dodoma MBUNGE wa Kilindi Omary Kigua (CCM) ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi kusimamia ujenzi wa barabara ya Handeni-Kibrash -Singida kwani ni muhimu kiuchumi na inaunganisha mikoa mitano. Akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara ya ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025-2026 bungeni,Kigua amesema yale ni…

Read More

UTT AMIS YAZINDUA TAWI JIPYA KAHAMA

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mhe. Frank Nkinda na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa UTT AMIS, Prof. Faustine Kamuzora (kulia) wakikata utepe ishara ya uzinduzi wa Tawi ya UTT AMIS – Kahama Mkoani Shinyanga Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampuni ya Uwekezaji ya UTT Asset Management and Investor Services (UTT AMIS) imezindua…

Read More