Wazazi Geita waonywa kuozesha, kutumikisha watoto

Geita. Wazazi na walezi ambao hawajapeleka watoto wao kujiunga na kidato cha kwanza katika muhula mpya wa masomo 2026, wametakiwa kufanya hivyo badala ya kuwaozesha katika umri mdogona kuwanyima haki yao ya msingi ya kupata elimu. Wito huo umetolewa na Naibu Meya wa Manispaa ya Geita, Elias Ngole akiwataka wazazi na walezi katika kata hiyo…

Read More

Miaka 25 ya Vodacom: Kuadhimisha Uunganishwaji Kidijitali

Katika kuadhimisha robo karne ya uwepo wake nchini na mafanikio makubwa tangu kuanzishwa kwake, Vodacom Tanzania PLC imeanzisha kampeni kabambe ya nchi nzima ijulikanayo kama “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii, itakayodumu kwa miezi minne, inalenga kuwakumbusha Watanzania jinsi Vodacom ilivyokuwa nao bega kwa bega katika kila hatua ya maisha yao. Kuanzia enzi za…

Read More

Unavyoweza kuwa mtu mwenye bahati maishani

Bila shaka ulishawahi kusikia watu wakisema mtu fulani ana bahati katika maisha yake, hii ni kutokana mambo mengi katika maisha yake yanaonekana kufanikiwa kwa wepesi zaidi kuliko wengine. Binafsi nilikuwa najiuliza ni kitu gani watu wamefanya hadi wanakuwa na bahati kiasi hicho, nami nilikuwa natamani sana hilo lije kutokea siku moja katika maisha yangu, niwe…

Read More

Zanzibar kutumia tafiti kupunguza vifo vya mama na mtoto

Unguja. Wakati Zanzibar ikiendelea kuboresha miundombinu ya afya kwa kujenga hospitali na vituo vya afya mijini na vijijini, bado vifo vitokanavyo na uzazi ni tatizo linaloendelea kusumbua. Hivyo, Wizara ya Afya Zanzibar imesema ina mpango maalumu wa kufanya tafiti zenye lengo la kupunguza vifo hivyo. Mpango huo unafanywa kati ya Wizara ya Afya Zanzibar na…

Read More

Maandamano ya Oktoba 29 Hayakuwa Halali, TPBA Yatamka – Global Publishers

Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kimetoa tamko rasmi kuhusu matukio yaliyojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 hadi Novemba 4, 2025, kikisisitiza umuhimu wa kuheshimu utawala wa sheria, wajibu wa raia, na mipaka ya matumizi ya haki za binadamu. Kupitia tamko lililotolewa leo, TPBA imesema kimechunguza taarifa na tuhuma mbalimbali kutoka taasisi…

Read More

Mmoja afariki, mwingine ajeruhiwa na simba Ngorongoro

Arusha. Mtu mmoja Mkazi wa Kijiji cha Malambo, wilayani Ngorongoro mkoani hapa, Sironga Mepukori, amefariki dunia kutokana na majeraha makubwa aliyoyapata alipokuwa akijaribu kupambana na simba aliyevamia shule. Akizungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu leo Alhamisi Juni 6, 2024, Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Kanali Wilson Sakulo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Amesema…

Read More