Mwanafunzi Udom afariki dunia mafunzoni Udzungwa

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linachunguza taarifa ya kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Hezekiel Petro (21) aliyekufa maji kwenye maporomoko ya maji Sanje yaliyopo Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Kata ya Sanje, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Desemba 23, 2024 mjini hapa, Kamanda…

Read More

KISHINDO CHA MAPOKEZI YA MWENYEKITI KAWAIDA MPANDA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida apokelewa Kwa kishindo na Vijana wa CCM Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi leo Ijumaa 13 Juni, 2025. Mwenyekiti anaendelea na Ziara yake ya Siku tatu za Kibabe inayohitimishwa leo katika Mkoa wa Katavi baada ya kutembelea wilaya za Mlele, Tanganyika…

Read More

Waokota chupa za plastiki wakatiwa bima ya afya

Dar es Salaam. Wazalishaji wa vinywaji na watengenezaji wa bidhaa za plastiki nchini, wamewapatia waokota chupa za plastiki bima ya afya ya jamii (CHF) na viakisi mwanga vyenye namba kutokana na kuwa na mazingira hatarishi ya ufanyaji kazi zao. Katika kutambua mchango wa waokota chupa   hao wazalishaji wa  vinywaji nchini kwa kushirikiana na taasisi zinazojihusisha…

Read More

UDART YAZINDUA BASI LA KWANZA LINALOTUMIA GESI ASILIA JIJINI DAR ES SALAAM

 ::::::::: Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) umezindua basi lake la kwanza linalotumia gesi asilia iliyosindikwa (CNG), hatua inayolenga kupunguza gharama za uendeshaji na kuboresha mazingira ya usafiri jijini Dar es Salaam,Uzinduzi huo umefanyika katika kituo cha TPDC, ukiashiria mwanzo wa mabadiliko makubwa katika sekta ya usafiri wa umma,basi hilo ni la kwanza kati ya…

Read More

Dar City, Tausi Royals zatibua mambo BDL

TIMU ya Dar City na Tausi Royals zimedhirisha ubora    katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kushinda mechi zilizopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco, Osterbay, huku zikitibua mipango ya timu shindani. Dar City inayoongoza ligi kwa upande wa wanaume ikiwa na pointi 33 katika mchezo uliopigwa juzi iliifumua Vijana ‘City…

Read More

Mvutano unazidi kuongezeka kuhusu DPR Korea, mkuu wa masuala ya kisiasa aonya Baraza la Usalama – Masuala ya Ulimwenguni

Akiwafahamisha mabalozi, Msaidizi wa Katibu Mkuu Rosemary DiCarlo alisisitiza haja ya kupunguza kasi na mazungumzo, huku pia akibainisha “dalili” kwamba DPRK inaendelea kutekeleza mpango wake wa silaha za nyuklia. “Ushirikiano wa kidiplomasia unasalia kuwa njia pekee ya amani endelevu na uondoaji kamili wa nyuklia wa Peninsula ya Korea,” alisema. Alikaribisha ofa za kushiriki katika mazungumzo…

Read More

DIWANI PASIANSI AKABIDHI WADAU VYETI VYA SHUKRANI KUFANISHA UJENZI WA ZAHANATI BWIRU PRESS

Mmoja wa wadau akipokea cheti cha shukurani kutoka kwa Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto), leo. Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto),leo akimkadhi cheti cha shukurani mmoja wa wadau wa maendeleo Kata ya Pasiansi. Picha zote na Baltazar Mashaka Mkurugenzi wa Fish Maws Industry ()kulia) akipokea cheti shukurani kutoka…

Read More

TAFIRI yaja na mfumo wa kidigitali kuunganisha sekta ya uvuvi

Na Esther Mnyika, Dodoma Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) imesema imekuja na mfumo wa kidigitali ambao utarahisisha uvuvi na utaunganisha wavuvi, wauzaji, wachuuzi na watumiaji wa bidhaa za samaki. Akizungumza na Mtanzania Digital leo Agosti 2, 2024 jijini Dodoma Afisa Utafiti TAFIRI, Spohia Shaban kwenye maonesho ya Wakulima nanenane kitaifa hufanyika jijini humo…

Read More