CCM yabariki vigogo Dawasa kuwekwa kando

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeubariki uamuzi wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso wa kuwasimamisha kazi vigogo wawili wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa). Kimesema Waziri Aweso asingechukua uamuzi huo, chama hicho kingechonganishwa na wananchi kuhusu hali ya upatikanaji wa maji katika maeneo mbalimbali ya Mkoa…

Read More

Uingereza kuendelea kufadhili miradi ya Ukimwi nchini

Moshi.Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,  David Concar amesema nchi yake itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kupambana na ugonjwa wa Ukimwi, ili kutimiza malengo  ya kimataifa ya muda wa kati na mrefu,  kuona hakuna maambukizi mapya, unyanyapaa na vifo vinavyohusiana  na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU). Balozi Concar amesema hayo…

Read More

Wasomi watakiwa kubuni teknolojia za kupunguza upotevu wa mazao

Morogoro. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, amesema licha ya Serikali kuweka fedha nyingi katika miradi ya kilimo, bado kuna changamoto ya uharibifu na upotevu wa mazao baada ya kuvunwa. Kigahe amesisitiza kuwa vijana wasomi wanapaswa kuendeleza na kubuni teknolojia zitakazosaidia kupunguza changamoto hiyo. Kigahe aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na wabunifu, wajasiriamali, wahadhiri,…

Read More

Tabora United yavuta winga Mkongo

TIMU ya Tabora United inaendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali ambapo sasa iko hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa winga Mkongomani, Heritier Kasongo Munani anayekipiga katika kikosi cha FC Lupopo. Kasongo yupo katika mazungumzo na Tabora United huku ikielezwa ni mbadala sahihi wa aliyekuwa winga wa timu hiyo Mganda, Ben…

Read More

DC alivyotumia mstari wa biblia kuwatuliza waandamanaji

Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Arumeru (DC), Amir Mkalipa ametumia mstari wa biblia kuwaomba wananchi walioandamana na kufunga barabara kwa zaidi ya saa nne kushinikiza Serikali kutatua changamoto zinazowakabili, kusitisha maandamano hayo. Miongoni mwa changamoto hizo, ni kuwapo kwa eneo korofi linalosababisha mafuriko mara kwa mara, ambali limesababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali.                                                                                                  Maji…

Read More

Kampuni ya Uturuki kuwezesha ubia sekta binafsi Tanzania

Dar es Salaam. Taasisi ya Sekta Binafsi  Tanzania (TPSF), imeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya ushauri ya Uturuki, Africapital Investment Holdings Ltd itakayosaidia kutafuta kampuni zitakazoingia ubia wa kutoa mitaji kwa wafanyabiashara nchini Tanzania. Akizungumza leo Jumatatu Agosti 5, 2024, Mkurugenzi Mkuu wa TPSF, Raphael Maganga amesema changamoto inayowakabili wafanyabiashara nchini ni upatikanaji…

Read More