Migogoro ya ardhi yatawala kampeni ya Mama Samia Legal Aid ikizinduliwa Z’bar

Unguja. Wakati kampeni ya msaada wa kisheria inayojulikana kama Samia Legal Aid ikizindiliwa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mkuu wa Mkoa huo, Mattar Zahor amesema changamoto kubwa inayowakabili wananchi ni migogoro ya ardhi inayosababishwa na shughuli za utalii. Hivyo, amewataka wananchi hao wajitokeze kwa wingi kupatiwa ufumbuzi wa matatizo hayo, kwani suala la haki ni maisha…

Read More

FANYENI KAZI USIKU NA MCHANA JENGO LA TAMISEMI LIKAMILIKE – MHA. MATIVILA 

OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Miundombinu Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhandisi Rogatius Mativila amemuelekeza mkandarasi anayejenga Jengo la Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mtumba kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa haraka. Mhandisi Mativila ameyasema hayo wakati wa ziara yake katika Jengo hilo ambalo linajengwa kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo…

Read More

Watanzania 16 waelekea masomoni Japan

Dar es Salaam. Wanataaluma 16 wa Tanzania wanatarajia kuanza safari yao ya kimasomo nchini Japan. Wanataaluma hao watasoma  shahada za uzamili na kupata uzoefu kwa vitendo kupitia mafunzo ya kazi katika kampuni za kijapani. Wanufaika hao chini ya Mpango wa Elimu ya Biashara kwa Vijana wa Afrika (ABE Initiative-African Business Education Initiative for Youth), huku…

Read More

SERIKALI IMETOA RUZUKU YA ASILIMIA 20 HADI 50 KWENYE MITUNGI YA GESI LAKI 4.4 – KAPINGA

…………………… 📌 Asema lengo ni kupunguza gharama na kuhamasisha Nishati Safi ya Kupikia 📌  REA kusambaza majiko banifu 200,000 kwa punguzo la hadi asilimia 75 📌 Baada ya umeme kufika kwenye vijiji vyote; Serikali kuendelea kuhamasisha matumizi ya majiko ya umeme Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20…

Read More

Asilimia 31 ya watoto Mara wanabeba mimba

Tarime. Asilimia 31 ya watoto wenye umri kati ya miaka 15 – 19 katika Mkoa wa Mara wanapata mimba za utotoni, jambo linaloelezwa kuwa na madhara katika ustawi wa watoto na jamii nzima mkoani humo. Hayo yamebainishwa leo Agosti 22, 2024 mjini Tarime na Mratibu wa Huduma za Afya na Uzazi na Mtoto Mkoa wa…

Read More