Baba miaka 30 jela kwa kuzini mwanaye

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mkazi wa Bunda, aliyohukumiwa kwa kosa la kuzini na binti yake wa kumzaa aliyekuwa na umri wa miaka 12. Kulingana na Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022, kosa la kuzini na ndugu wa damu (incest…

Read More

Watatu walioshtakiwa kumuua bodaboda wahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Geita, imewahukumu watu watatu adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la mauaji ya dereva bodaboda. Waliohukumiwa adhabu hiyo ni Faraji Liyugana, Said Ponera na Rashid Fussi ambao walishtakiwa kwa mauaji ya Fanyeni Adam, kosa walilolitenda kinyume na kifungu cha 196 na 197 cha Kanuni…

Read More

WASIRA APIGILIA MSUMARI KUZUILIWA KWA VIONGOZI WA UPINZANI KUINGIA ANGOLA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira ameeleza kuwa Serikali haiwezi kueleza chochote kuhusu kuzuiliwa kwa viongozi wa upinzani kuingia nchini Angola. Wąsira ameyasema hayo leo Mkoani Songwe alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe ambapo amesema amesoma vyombo Vya…

Read More

SERIKALI YATOA NENO KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO YA KIDIGITALI PAMOJA NA MIKOPO YENYE RIBA KUBWA.

SERIKALI imesema inafuatilia kwa karibu mwenendo wa utoaji wa mikopo kwa njia ya kidigitali iliyoidhinishwa na kwamba itakapobainika kuwa kuna ukiukwaji wa matakwa ya leseni ya utoaji wa mikopo hiyo hatua stahiki zitachukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwafutia leseni watoa huduma husika. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck…

Read More

DK.SAMIA KUUFUNGUA MKOA WA MARA KWA MIUNDOMBINU YA USAFIRISHAJI ILI KUUINUA UCHUMI

*Aahidi kuendelea kuupanua Uwanja wa Ndege ,kukagua bandari,ujenzi wa SGR *Awaomba wananchi Mkoa wa Mara Oktoba 29 waipigie kura CCM iendelee na kazi  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mara MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Mara kuwa Serikali itaendelea na uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo ya barabara,reli,Uwanja…

Read More

HATUA ZA DHARURA ZAENDELEA KUCHUKULIWA NA TANROADS MOROGORO KUREJESHA MIUNDOMBINU

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro imewataka Wananchi wa Mkoa huo kuwa watulivi wakati Serikali ikiendelea kuchukuwa hatua za dharura kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibika katika kipindi hiki cha mvua kubwa . Akizungumzia athari za mvua hizo tarehe 28 Aprili 2024; Meneja wa TANROADS Mkoa wa Morogoro Mhandisi Alinanuswe L. Kyamba…

Read More