Kampuni ya DL GROUP kulipa wafanyakazi ndani siku saba

MWEKEZAJI wa viwanda na mashamba ya chai yaliyopo mkoani Iringa na Njombe amesema Kampuni ya DL Group ipo mbioni kulipa mishahara ya miezi miwili kwa wafanyakazi wake wote wa viwandani na mashambani ndani ya siku saba kuanzia leo tarehe 4 Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Njombe…(endelea). Akizunzungumza na  waandishi wa habari leo Alhamisi miongoni mwa…

Read More

CCM yalaani shambulio la Padri Kitima, Polisi yaagizwa

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimelaani shambulio dhidi ya na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima kikisema ni tukio la kihalifu. Chama hicho kimekwenda mbali na kutoa maagizo kwa Jeshi la Polisi kuhakikisha wahusika wote wa shambulio dhidi ya kiongozi huyo wa dini wanatiwa nguvuni. Kwa sasa,…

Read More