Amarula Sundown Sessions Yazua Mwendo Jijini Dar

Jumapili usiku, tarehe 7 Septemba 2025, jiji la Dar es Salaam lilichomoka kwa shangwe pale Amarula Sundown Sessions lilipofanyika – tukio lililosheheni mastaa, influencers, na watu mashuhuri kutoka kila kona ya jiji. Usiku huo ulikuwa wa burudani ya hali ya juu: muziki ulirukaruka kwenye midomo ya wapenzi wa vibes, vinywaji vya Amarula vilivyotengenezwa kwa ubunifu…

Read More

Mwili waopolewa mtaroni Jangwani | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwili wa mtu mmoja umeonekana asubuhi ukielea majini kwenye mtaro uliopo Jangwani, jirani na kilipokuwa kituo cha mabasi ya mwendokasi. Katika eneo hilo kwa sasa unaendelea ujenzi wa barabara mbadala kabla ya kubomolewa ya awali kupisha ujenzi wa daraja la juu litakalounganishwa eneo la Fire na Magomeni. Mwili huo wa mtu mzima…

Read More