WADAIWA KODI YA ARDHI KIKAAONGONI

Waziri Akwilapo Ataka Kukamilisha malipo ifikapo Desemba 31, 2025 Aagiza Vituo vya Makusanyo ya Kodi kutoa huduma bora Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo ameelekeza wadaiwa wote wa Kodi ya Pango la Ardhi nchini wawe wamekamilisha malipo ya madeni yao kufikia Desemba 31, 2025. Akizungumza na Watumishi wa Halmashauri…

Read More

Azam yapata ushindi mwembamba nyumbani

Azam FC imeanza vyema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua za awali baada ya kuichapa APR FC ya Rwanda bao 1-0 Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Timu mbili kutoka Tanzania Azam FC na Yanga zinawakilisha kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa baada ya kumaliza nafasi mbili za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Serikali yaweka mikakati kuendeleza wabunifu

Dar es Salaam. Serikali na wadau wa teknolojia wamedhamiria kuziinua kampuni changa bunifu (startups), ili kufikia malengo ya kuwawezesha vijana kujiajiri na kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Hayo yamesemwa jijini Dar es     Salaam kwenye hafla ya utoaji zawadi kwa washindi watatu wa mashindano ya ubunifu kwenye teknolojia (U.S Tanzania Tech Challenge 2024) iliyoandaliwa na ubalozi…

Read More

Wasomi wasema janga la Kariakoo ni somo

Dar es Salaam. Ingawa tukio la kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo limeacha maumivu, wanazuoni wamesema ni somo kwa Taifa hasa kwa kuzingatia taratibu za kitaalamu na kisheria kabla, wakati na baada ya ujenzi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi, wamesema tukio hilo liwe kumbukumbu mbaya kwa nchi ili kuondoa mtindo wa kufanya kila kitu…

Read More

Hatima dhamana ya kada wa Chadema aliyedaiwa kutekwa Agosti 22

Dar es Salaam. Hatima ya dhamana ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, aliyeripotiwa kupotea kabla ya Jeshi la Polisi Tanga, kutangaza kumshikilia siku 29 baadaye, na kisha kumfungulia kesi ya jinai, Kombo Mbwana sasa itajulikana Alhamisi Agosti 22,2024. Mahakama ya Wilaya Tanga siku hiyo itatoa uamuzi wa pingamizi la dhamana…

Read More

Mahitaji ya ‘Kubwa’ ya Msaada wa Chakula huko Gaza kama Fira Cease Fire inashikilia – Maswala ya Ulimwenguni

Abeer Etefa, Afisa Mwandamizi wa Mawasiliano wa Mkoa wa Programu ya Chakula Ulimwenguni (WFP) aliwaambia waandishi wa habari huko Geneva Jumanne kwamba tangu kusitisha mapigano yalifanyika mnamo Oktoba 11 shirika hilo limeweza kuleta zaidi ya tani 6,700 za chakula – Kutosha kwa karibu watu wa nusu milioni kwa wiki mbili. “Uwasilishaji wa kila siku unaendelea…

Read More