Chanzo, tiba msongo wa mawazo kazini – 1

Huu ni msongo wa mawazo kwa watu walio kazini. Kwa kawaida, husababishwa na mazingira ya kazi, uzito wa kazi na uwezo wa mtu kuimudu kazi. Mambo haya yote huunda mazingira yanayoweza kumweka mwajiriwa kwenye hatari ya kupata msongo wa mawazo. Mambo mengine yanayochangia msongo wa mawazo kwa wafanyakazi ni nafasi ya mwajiriwa katika ofisi, uhusiano…

Read More

Makala: CCM inaaminika na kutegemewa na wananchi

Dar es Salaam.  Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema uwepo wa watia nia wengi katika nafasi mbalimbali zilizotangazwa umethibitisha kuwa CCM ni chama pendwa kinachoaminika, kinategemewa huku wananchi wakiamini kuwa hatima ya uongozi iko ndani yake. Kutokana na wingi huo, amewataka wagombea watakaokosa nafasi katika uteuzi wa…

Read More

Samia aomba kura Ruangwa akimtaja Majaliwa bado yupo

Ruangwa. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kumtumia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kama msaidizi muhimu kwenye Serikali yake pindi atakapochaguliwa kuwa madarakani. Majaliwa ambaye amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa miaka 15 na kushika nafasi ya Waziri Mkuu kwa miaka 10,…

Read More

Briteni’s Got Talent ililazimika kusitisha onyesho huku shamrashamra za umati zikiwazuia majaji.

Britain’s ot Talent ilikumbana na usumbufu usiotarajiwa wakati wa matangazo yake ya moja kwa moja huku muhtasari wa majaji ulipopokelewa na shangwe kutoka kwa umati ambao ulizima sauti zao. Onyesho maarufu la vipaji la Uingereza, Britain’s Got Talent (BGT), ambalo linajulikana kwa kugundua na kukuza vitendo mbalimbali vyenye vipaji vya kipekee, lilipata usumbufu usiotarajiwa wakati…

Read More

Kauli ya Wasira kuibua mvutano na msimamo wa Chadema

Dodoma. Unaweza  ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba  kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu  wa Oktoba 2025 imechelewa. Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini…

Read More