Je, lazima kuoga kwa sabuni?

Kuoga ni sehemu muhimu ya usafi wa mwili na afya ya binadamu. Katika maisha ya kila siku, tunakumbana na vumbi, jasho, mafuta ya mwili, na vijidudu mbalimbali kutoka mazingira yanayotuzunguka. Kwa sababu hiyo, kuoga husaidia kuondoa uchafu, kuleta hali ya usafi, na kuboresha afya ya ngozi. Hata hivyo, kuna swali ambalo huibuka;  je, lazima tuoge…

Read More

NCBA Bank Launches “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu” Campaign in Tanzania

NCBA Bank has officially unveiled its new brand campaign, “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu”, signaling a renewed commitment to driving impact across Tanzania. The campaign highlights how every decision from financial choices to community actions adds up to meaningful progress for individuals, businesses, and society at large. Speaking at the launch in Dar…

Read More

Watu unaopaswa kuambatana nao ili ufanikiwe kiroho, kimwili

Bwana Yesu asifiwe! Karibu katika tafakari ya neno la Mungu. Leo utakuwa na mimi Mwalimu Edson Sanga kutoka KKKT Usharika wa Tandika. Ni maombi yangu kwa Bwana, Roho mtakatifu akuhudumie unaposoma ujumbe huu. Leo tumepewa ujumbe unaosema “AINA YA WATU UNAOWAHITAJI ILI UWEZE KUFANIKIWA KIROHO NA KIMWILI”. Ukweli ni kwamba tunaishi kwenye maisha ambayo tunahitaji…

Read More

Wasichana wapewa mbinu kumudu masomo ya sayansi

Unguja. Wakati masomo ya sayansi yakitajwa kuwa magumu hususani kwa wanafunzi wa kike, imeelezwa ni rahisi zaidi kwa sababu yanahitaji kujua tu kanuni na si kukariri. Kutokana na hilo, wasichana wametiwa moyo kupenda masomo ya sayansi. Hayo yamebainika wakati wa kufunga mafunzo na mashindano ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa wasichana yaliyoandaliwa na…

Read More

Wafanyikazi wa Afya na Msaada Wanaolenga Migogoro Ulimwenguni Pote, Shirika la UN linasema – Maswala ya Ulimwenguni

Mashambulio dhidi ya vituo vya afya viliongezeka mara mbili kati ya 2023 na 2024, na zaidi ya wafanyikazi wa afya 900 waliuawa mwaka jana, shirika hilo liliripoti. Wafanyikazi wa misaada ya kibinadamu pia waliuawa kwa idadi ya rekodi mnamo 2024. Bado, 2025 inazidi hata takwimu hizi za giza wakati ambao ufadhili wa kazi ya kibinadamu…

Read More