Kauli ya mwisho ya Dk Ndugulile bungeni

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile, ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 27, 2024, nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu, aliwaacha Watanzania na ujumbe mzito wa maono na matumaini alipohitimisha hotuba yake ya mwisho bungeni. “Nimepewa miezi sita kujipanga na kuandaa maono yangu nitakapoanza kazi Machi mwakani. Nia ya kufanya…

Read More

Afrika inahitaji kuzuia migogoro kwani bara linakabiliwa na vitisho visivyo kawaida – maswala ya ulimwengu

Parfait Onanga-Anyanga alikuwa akizungumza saa a Baraza la Usalama Mkutano ulilenga maswala muhimu yanayowakabili Afrika na ushirikiano kati ya UN na Jumuiya ya Afrika (AU) – shirika la bara linalojumuisha nchi wanachama 55 wa Afrika. Alionya kuwa “wasiwasi unabaki katika sehemu zingine za bara juu ya idadi na ugumu wa mizozo.” Alisema mizozo hii mara…

Read More

Baraza la wadhamini Yanga matatani, Mwanasheria afunguka

Dar es Salaam. Yanga imepokea hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.  Hukumu hiyo ambayo Mwananchi imeipata nakala yake inatokana na kesi ya msingi iliyofunguliwa Agosti 4, 2022 na walalamikaji Juma Ally na Geoffrey Mwaipopo, wakitaka kutotambulika kwa Baraza la…

Read More

Simba ilirahisisha ushindi wa Yanga Dabi

Ushindi wa mabao 2-1 ambao Yanga iliupata dhidi ya Simba katika dabi ya Kariakoo, Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yanaweza kuwa matokeo yaliyorahisishwa kwa kiasi kikubwa na timu iliyopoteza mchezo huo. Hakikuwa kibarua kigumu kwa Yanga kupata ushindi katika mechi hiyo tofauti na uhalisia unaotakiwa wa timu kupaswa kufanya kazi ngumu kupata ushindi…

Read More

WANANCHI EPUKENI MADENI YASIYO YA LAZIMA

Na Chedaiwe Msuya, WF, Mwanza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Bw. Mohammed Kiande, amewataka wananchi kupanga matumizi yao vizuri, kuepuka madeni yasiyokuwa ya lazima, kujenga utajiri na kuongeza Uelewa wa Masuala ya kiuchumi. Bw. Kiande alitoa rai hiyo wakati alipokutana na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha, Taasisi…

Read More