Mwananchi yaeleza manufaa kongamano la ‘Energy Connect’

Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Victor Mushi amesema lengo la kuandaliwa kwa kongamano la ‘Energy Connect’ ni kuwezesha mazungumzo kuhusu matumizi ya nishati safi nchini Tanzania. Kupitia kampeni isemayo, “ushirikiano wa kibunifu katika nishati safi ya kupikia, endelevu na mustakabali wa kijani,” watu watajifunza jambo kwa undani. Kongamano hilo…

Read More

Bacca: Mama yangu anamkubali Job

BEKI kisiki wa Yanga, Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ amesema mama yake ambaye ni shabiki mkubwa wa Simba, anavutiwa na aina ya uchezaji wa beki wa kati na nahodha msaidizi wa Yanga, Dickson Job. Bacca alisema hayo jana baada ya kutamatika kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao Yanga iliondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi…

Read More

Chalamila alivyomaliza mgomo uliodumu kwa saa tano Simu2000

Dar es Salaam. Katika hali isiyotabirika, mgomo na maandamano ya wafanyabiashara wadogo maarufu wamachinga ulizuka kwa takriban saa tano katika Soko la Simu2000 jijini hapa. Mzizi wa mgomo huo, ni kuishinikiza Manispaa ya Ubungo ifute uamuzi wake wa kukabidhi eneo linalotumiwa na wamachinga kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) kwa ajili ya kujenga karakana….

Read More

Dabo aitaka Ligi ya Mabingwa Afrika

LICHA ya upinzani mkali walionao kutoka kwa Simba SC ya Juma Mgunda, kocha wa Azam FC, Youssouf Dabo anaamini vijana wake wanaweza kupambana katika michezo miwili iliyosalia katika ligi dhidi ya Kagera Sugar na Geita Gold ili kuvuna pointi sita kwa ajili ya kukamilisha mpango wa kupata tiketi ya msimu ujao wa 2024/25 kucheza Ligi…

Read More

CAICA WAJIPANGA KUDHIBITI VIPODOZI FEKI NCHINI TANZANIA

WADAU Wa Sekta ya Urembo na Mitindo wameihimiza serikali kuweka Mazingira bora ya uwakala wa bidhaa za kimataifa za vipodozi ili kupunguza changamoto ya bidhaa bandia zinazosambazwa nchini. Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa tawi jipya la Duka la Dawa baridi na Vipodozi Mkurugenzi wa CAICA Pharmacy, Jackson John, amesema Kampuni yake inalenga kuwa mfano…

Read More

Huduma za kibingwa zatua hospitali 184 za halmashauri

Iringa. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amezindua mpango wa makambi ya madaktari bingwa waliosambaa nchi nzima kutoa za matibabu kwenye hospitali zote 184 za halmashauri. Madaktari bingwa watano wa upasuaji; afya ya uzazi, watoto na watoto wachanga, magonjwa ya ndani pamoja na wale wa ganzi na usingizi watakuwa wakitoa huduma za kibingwa kwenye hospitali moja…

Read More

Mahakimu watatu wanavyopambana kudai haki kortini

Dodoma. Mahakama Kuu, imewapa kibali, mahakimu watatu wa zamani wa mhimili huo, ili wafungue maombi ya kuomba kurejewa kwa uamuzi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama wa kuwafuta kazi na hatimaye kubatilisha uamuzi huo. Uamuzi wa kuwaruhusu mahakimu hao wa zamani kufungua maombi hayo, ulitolewa Juni 18, 2024 na Jaji Fredrick Manyanda wa Mahakama Kuu…

Read More

Fountain Gate yavizia straika Mbeya Kwanza

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa Alhamisi mabosi wa Fountain Gate wameanza mazungumzo ya kupata saini ya mshambuliaji nyota wa kikosi cha Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship, Boniface Mwanjonde. Mwanaspoti linatambua, jana Jumamosi mabosi wa Fountain Gate walikuwa wanamfuatilia kwa ukaribu akiwa na Mbeya Kwanza, iliyokuwa inacheza na Gunners, katika mechi ya Championship…

Read More