NITAWATUMIKIA WANA SIMANJIRO BILA UBAGUZI – OLE MILLYA

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MGOMBEA ubunge wa Simanjiro mkoani Manyara, kupitia CCM wakili msomi, James Ole Millya amesema endapo atapewa nafasi hiyo atawatumikia wakazi wa eneo hilo bila ubaguzi wowote. Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya CCM uliofanyika mji mdogo wa Orkesumet, Ole Millya ameomba achaguliwe kwani yeye ni mtumishi wao. Amesema hivi sasa yeye…

Read More

Hii ndiyo sababu – Masuala ya Ulimwenguni

Vingi vya vifo hivi vinaweza kuzuilika kwa njia zilizothibitishwa, za gharama ya chini na upatikanaji wa huduma bora za afya, ripoti inasisitiza. Kwa mara ya kwanza, uchambuzi unatoa picha kamili ya sio tu ni watoto wangapi wanakufa na wapi – lakini pia kwa nini, kwa kuunganisha kikamilifu makadirio ya kimataifa juu ya sababu za kifo….

Read More

TMA FC yaanza na straika

KIKOSI cha TMA cha Arusha kipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa Bigman, Arafat Adam baada ya mkataba wake na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Champioship kufikia ukomo msimu uliopita.chukua nafasi ya aliyekuwa nyota wa timu hiyo, Ramadhan Kapera ambaye amekamilisha uhamisho wa kurejea Polisi Tanzania.

Read More

Zoran amvuta Mavambo Libya | Mwanaspoti

BAADA ya aliyekuwa kiungo wa Simba, Debora Mavambo kuachana na timu hiyo aliyoitumikia kwa msimu mmoja aliyojiunga nayo Julai 6, 2024, kwa sasa mchezaji huyo anakaribia kujiunga na Asswehly ya Libya kwa mkataba wa miaka miwili. Mavambo aliyejiunga na Simba akitokea Mutondo Stars ya Zambia na kufunga bao moja tu katika Ligi Kuu Bara huku…

Read More

Mapya yaibuka mazishi ya Edgar Lungu

Pretoria. Zikiwa zimetimia siku 252 tangu kufariki dunia kwa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, mwili wake bado umehifadhiwa katika nyumba ya huduma za mazishi ya Two Mountains, Afrika Kusini kufuatia mvutano wa wapi azikwe, kati ya Serikali na familia yake. Wakati mvutano huo ukiendelea, familia ya Lungu imetoka hadharani kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni…

Read More