Mawaziri wa Habari na Teknolojia Afrika kujadili utawala wa mtandao

Dar es Salaam. Mawaziri wa Afrika wanaoongoza wizara  kwenye masuala ya habari na teknolojia wanatarajiwa kukutana jijini Dar es Salaam, katika kongamano la Jukwaa la Utawala wa Mtandao Afrika (AfIGF) wakijadili mambo muhimu yanayohusu sera, matumizi, kanuni na mambo mengine yanayohusisha uchumi wa kidigitali. Kongamano hilo linalotarajiwa kuanza Mei 29 hadi 31, 2025 limetanguliwa na…

Read More

Sanga atua kwa mkopo Prisons

KIUNGO mshambuliaji, Rabbin Sanga, amekamilisha uhamisho wa mkopo wa miezi sita kujiunga na  Tanzania Prisons akitokea Singida Black Stars, hatua iliyofanywa na mabosi wa maafande hao kama sehemu ya mkakati wa kuimarisha kikosi chao kilichouanza vibaya msimu huu. Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 13 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, imeshinda mechi tatu tu…

Read More

Saba wafariki dunia ajali ya basi Mwanga, 32 wajeruhiwa

Mwanga. Watu Saba wamefariki dunia papo hapo huku wengine 32 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Mvungi, walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Kijiji cha Mamba, Kata ya Msangeni, Tarafa ya Ugweno, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Kamanda ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo,  ambapo…

Read More

CITY BULLS, JKT PAMOTO DAR KESHO

UWANJA wa kikapu wa DB Osterbay unatarajiwa kuwaka moto wakati timu kongwe za kikapu nchini, JKT na Vijana (City Bulls) zitakapochuana kesho katika mchezo wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Mchezo huo unasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa kikapu mkoani humo kutokana na upinzani mkubwa zilio nao timu hizo.  Timu…

Read More