Rais Samia kufanya ziara ya siku 7 Korea Kusini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku saba, Jamhuri ya Korea, kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Yoon Suk Yeol. Ziara hiyo itaanza tarehe 31 Mei hadi 6 Juni 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akiwa nchini humo, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi Ikulu…

Read More

Simba yasitisha mkataba wa CEO wao, yamtaja mrithi wake

Uongozi wa Simba umetangaza kusitisha mkataba na Francois Regis raia wa Rwanda ambaye alikuwa Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo. Regis aliyetambulishwa klabuni hapo Julai 26, 2024 akichukua nafasi ya Imani Kajula, anaondoka akiwa amekaa kwa takribani miezi minne pekee tangu atambulishwe. Taarifa ya Simba iliyotolewa leo Novemba 23, 2024, imesema: “Tunapenda kuutarifu umma…

Read More

JKT TZ yavimbia rekodi nyumbani

MAAFANDE wa JKT Tanzania wataikaribisha Pamba Jiji leo kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, huku wakijivunia rekodi waliyonayo  ya ushindi kwa asilimia kubwa wakiwa nyumbani. JKT Tanzania ndiyo timu pekee msimu huu ambayo haijapoteza mchezo wowote wa ushindani ikiwa nyumbani, imeshinda nne moja ikiwa ya Kombe la FA na…

Read More