Rais Samia kufanya ziara ya siku 7 Korea Kusini
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku saba, Jamhuri ya Korea, kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Yoon Suk Yeol. Ziara hiyo itaanza tarehe 31 Mei hadi 6 Juni 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akiwa nchini humo, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi Ikulu…