Haya hapa majina walioitwa usaili ajira za TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya waliochaguliwa kufanya usaili wa nafasi mbalimbali za kazi zilizotangwa kuanzia Februari 6 hadi 19 mwaka huu.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya waliochaguliwa kufanya usaili wa nafasi mbalimbali za kazi zilizotangwa kuanzia Februari 6 hadi 19 mwaka huu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa Mkoani Singida kitaifa, leo tarehe 1 May, 2025. Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing…
Hai. Askari wanafunzi 10 kati ya 14 wa Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi, mkoani Kilimanjaro waliopata ajali ya gari wameruhusiwa kuendelea na matibabu katika hospitali ya Polisi iliyopo shuleni hapo baada ya afya zao kuimarika. Wanafunzi (kuruta) wengine wanne wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Hai, mkoani hapa huku mmoja aliyepata rufaa …
Dar es Salaam. Wakati viongozi wa soko la Kurasini, lililopo Mtaa wa Shimo la Udongo, barabara ya GSM jijini hapa, wakieleza wapo hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kuuza soko hilo, uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umesema hautambui mauzo hayo. Mbali ya halmashauri, uongozi wa mtaa na wafanyabiashara zaidi ya 160 waliopo sokoni…
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba na Yanga zimepangwa kwa pamoja kuanzia hatua ya awali ya raundi ya kwanza tofauti na misimu mitatu iliyopita zilipokuwa zikitofautiana kwa Simba kuanzia raundi ya pili. Hatu hiyo imetokana na mabadiliko yaliyofanywa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwa msimu ujao wa…
Mnamo Septemba 2024 mvua kubwa ilisababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi huko Nepal, vijiji kama Roshi wilayani Kavre viliathiriwa. Mikopo: Barsha Shah na Tanka Dhakal (Bloomington, USA) Jumatatu, Juni 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BLOOMINGTON, USA, Jun 23 (IPS) – Asia inaelekea kwenye hali mbaya zaidi ya hali ya hewa na uwezekano wa…
Na Grace Semfuko, Maelezo. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa, amesema Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), na kufanya maboresho ya kisera, kisheria na kitaasisi pamoja na kujenga uwezo kwa watanzania, lengo likiwa ni kuifanyia Tanzania kuwa sehemu ya mabadiliko ya teknolojia Duniani. Mhe. Silaa ameyasema…
Katika moyo wa soka la Tanzania, sura mpya ya utukufu na malipo imeandikwa. Young Africans SC, maarufu kama Yanga, si tu wamechukua Ngao ya Jamii, bali pia wamegeuza utendaji wao wa nyota kuwa zawadi kubwa ya shilingi milioni 150. Jukwaa lilikuwa tayari kwa pambano kubwa la kihistoria: Yanga ilikabiliana na maadui wao wakali, Simba na…