KONGAMANO LA WATU WENYE ULEMAVU LAFANYIKA DAR, MBUNGE STELA IKUPA KUENDELEA KUWATETEA
Mbunge wa Viti Maalum UWT (watu wenye ulemavu), Stella Ikupa kulia akizungumza na watu wenye ulemavu katika kongamano lililofanyika jijini Dar es Salaam leo Agosti 12, 2024. MBUNGE wa Viti Maalum UWT (watu wenye ulemavu), Stella Ikupa leo Agosti 12, 2024 ameandaa kongamano la Watu wenye ulemavu wanaoishi katika jijini Dar es Salaam akiwa na…