Uzinduzi Simba Day waleta shangwe Mafinga

Mashabiki na wa wananchama wa Simba Tawi la Mafinga na maeneo mbalimbali nje ya Mkoa wa Iringa, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uzinduzi wa Wiki ya Simba Day  unaotarajiwa kufanyika Agosti 30, 2025, wilayani Mufindi mkoani hapa, huku fursa ya kiuchumi ikitajwa kuwanufaisha. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 28, 2025 na Mwenyekiti wa Tawi…

Read More

‘Energy drinks’ zaibua mjadala Baraza la Wawakilishi

Unguja. Sakata la madhara yanayosababishwa na vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) limeibukia katika Baraza la Wawakilishi, ikielezwa kuna utafiti unaonyesha kinywaji hicho ni hatari kwa afya ya binadamu. Katika swali la msingi leo Mei 29, 2024, mwakilishi wa Wingwi, Kombo Mwinyi Shehe ametaka kujua ni kwa kiwango gani Serikali inafahamu tatizo hilo akieleza kuna…

Read More

KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI

Na Farida Mangube, Morogoro Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima watahamasika kulima kilimo cha kisasa kinachojali mazingira kwa kutumia teknolojia mahiri zinazowezesha uzalishaji mkubwa kwenye eneo dogo katika kipindi ambacho mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuathiri sekta ya kilimo nchini. Kauli hiyo…

Read More

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha

ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua vihatarishi vya ajali na magonjwa katika shughuli zao za uzalishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mafunzo hayo yaliyotolewa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa ushirikiano na Wakala wa Afya…

Read More

KASEKENYA AWATAKA WAKANDARASI BARABARA YA MNIVATA – NEWALA –MASASI KUONGEZA KASI

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya akisisitiza jambo alipokagua eneo la Kilambo mkoani Mtwara linapotarajiwa kujengwa daraja linalounganisha Tanzania na Msumbiji kwa njia fupi Mbunge wa Jimbo la Nanyamba, mkoani Mtwara, Mheshimiwa Abdallah Chikota akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya (Wanne kushoto) alipokagua eneo la Kilambo mkoani Mtwara linapotarajiwa kujengwa…

Read More

DK.NCHIMBI AENDELEA KUINADI ILANI UCHAGUZI MKUU, KUOMBA KURA ZA KISHINDO KWA CCM

Na Mwandishi Wetu,Katavi MGOMBEA Mwenza wa Urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ameendelea kunadi Ilani ya Chama hicho ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030,ambayo kimsingi imelenga kwenda kuboresha maisha ya wananchi na ustawi wa maendeleo katika miaka mitano ijayo. Dk.Nchimbi leo Septemba 9,2025 amewasili mkoani Katavi na kuhutubia wananchi katika Uwanja wa…

Read More

Ponda ajitosa ubunge Temeke | Mwananchi

Dar es Salaam. Hatimaye Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Temeke kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, huku akieleza sababu ya kuchagua eneo hilo na siyo kwingine. Sheikh Ponda, kada mpya wa chama hicho, aliyejiunga Juni 5, 2025 baada ya kuchukua fomu hiyo,…

Read More