Lembeli: Operesheni Tokomeza ilinipa presha, iking’oa mawaziri wanne wa JK

Moja ya operesheni za Serikali zilizofanyika nchini na kugubikwa na mauaji ya watu, dhuluma na ukatili kwa wananchi ni Operesheni Tokomeza, iliyolenga kukabiliana na ujangili kwenye hifadhi za Taifa uliokuwa umekithiri wakati huo. Operesheni hiyo ilianza Oktoba 2023 hadi Novemba 2014, baada ya Serikali kusitisha kutokana na malalamiko ya wananchi kuhusu vitendo vya ukiukwaji wa…

Read More

UVCCM CHEMBA WAMPA TANO MBUNGE WAO.

Umoja wa Chama Cha Mapinduzi ( UVCCM) Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma umempongeza Mbunge wa Jimbo hilo Mohammed Monni kwa kutekeleza na kusimamia ipasavyo miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Wilaya hiyo Ikiwemo Kufungua shule 13 mpya za Msingi, shule 7 mpya za sekondari, Zahanati 11, pamoja na vituo vya afya. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti…

Read More