Mbarawa aelekeza huduma za chakula, vinywaji ziongezwe SGR

Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuongeza urahisi wa upatikanaji wa huduma za chakula na vinywaji, ikiwa ni sehemu ya kuongeza ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia mradi wa reli ya kisasa (SGR). Katika kutekeleza hilo, amesisitiza ni muhimu shirika hilo kuhakikisha linashirikiana na sekta…

Read More

Maxime aibukia Mbeya City, kuanza kazi baada ya Simba

KOCHA Mecky Maxime ndiye mrithi rasmi wa Mbeya City ya Mbeya akichukua mikoba ya Malale Hamsini aliyeondolewa mwanzoni mwa wiki hii. Maxime ambaye amewahi kuzinoa Kagera Sugar na Dodoma Jiji, ataanza rasmi kibarua cha kuinoa Mbeya City baada ya mechi ya leo Desemba 4, 2025 dhidi ya Simba. Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti imezipata kutoka…

Read More

ACT-Wazalendo, CUF vyasusia uchaguzi Kwahani

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimetangaza kususia uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kwahani mjini Unguja utakaofanyika Juni 8, 2024. Sababu za kususia uchaguzi huo imetajwa ni mwendelezo wa chama hicho kikuu cha upinzani Zanzibar, kushinikiza watendaji waliopo kujiuzulu ili kupata makamishna wapya na sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi. Kwa nyakati tofauti…

Read More

ZUHURA: MICHEZO NI MWAROBAINI WA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Zuhura Yunus amewasisitiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga tabia ya kushiriki michezo na mazoezi kwa ujumla ili kuimarisha afya zao na kuepuka magonjwa yasiyoyakuambukiza ambayo kwasasa ameeleza ni changamoto inayowakabili watu wengi ulimwenguni. Bi. Zuhura ametoa wito huo wakati akifunga…

Read More

Yanga ni Mokwena au Mfaransa

MABOSI wa Yanga, wameendelea kufanya yao kimyakimya katika mchakato wa kusaka kocha atakayepewa nafasi ya kuiongoza timu hiyo kwa msimu ujao huku zoezi hilo likichukua sura mpya baada ya kuamua kuliongeza jina la kocha mmoja kutoka nyumba ya vipaji raia wa Ufaransa. Yanga ipo katika mipango ya kutemana na Miloud Hamdi anayeionoa kwa sasa ambaye…

Read More

Mnyukano wa Linda kura, No reforms, no election na Oktoba Tunatiki balaa

Wakati Watanzania wakijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, mijadala ya kisiasa imetawala majukwaa mbalimbali, hususani kwenye mitandao ya kijamii. Kauli za kisiasa kama vile No reforms, No election; Oktoba Tunatiki; Piga kura, Linda kura na zingine zimekuwa maarufu mitandaoni. Kauli hizi na zingine za namna hiyo zinazoibuka kupitia mitandao ya kijamii kama vile…

Read More