Dosari zamwokoa kwenye adhabu ya kifo

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa Ludan Lyimo, aliyetiwa hatiani kwa mauaji. Uamuzi huo unatokana na kubainika dosari za kisheria zilizojitokeza wakati wa usikilizwaji wa kesi. Ludan na Abelly Lyimo, walishtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, wakidaiwa kumuua Florid Lyimo katika Kijiji cha Mbomai…

Read More

TTB yaja na ‘tinga CHAN, tinga Tanzania’

SAA 48 kabla ya fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kuanza rasmi kwa mechi ya ufunguzi itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua kampeni maalumu ya fainali hizo zitakazomalizika Agosti 20. Fainali hizo za nane zinazofanyika kwa mara ya kwanza Afrika Mashariki ikiandaliwa…

Read More

Kader aibukia Fountain Gate | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa JKT Tanzania, Ismail Aziz Kader, hivyo kuzipiku timu za Mbeya City, Tanzania Prisons na Pamba Jiji ambazo zote zilionyesha kumuhitaji. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho, zimeliambia Mwanaspoti, Kader amekubaliana maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa miaka miwili wa…

Read More

Rukwa yapata Sh6.5 bilioni za dharura kurejesha miundombinu ya barabara

Dar es Salaam. Serikali imetoa Sh6.5 bilioni kwa Mkoa wa Rukwa kwa ajili ya kufanya matengenezo ya dharura ya kurejesha miundombinu ya barabara iliyoharibika kutokana na mvua za El Nino zilizonyesha mkoani hapo. Fedha hizo zimepitia Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), taasisi yenye jukumu la kuhakikisha mawasiliano yanapatikana na kuwarahisishia mawasiliano wananchi. Akizungumza jana Jumatatu, Mei 6, 2024…

Read More