Kizungumkuti ukaguzi magari ya shule
Dar/mikoani. Wakati shule nyingi zikifunguliwa Jumatatu ya Januari 13, 2025, Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani linaendelea na ukaguzi wa mabasi ya wanafunzi huku likionya kuchukua hatua kali za kisheria kwa wote watakaokiuka sheria na miongozo. Mamia ya watoto, hasa wanaosoma shule za mijini, wamekuwa wakitumia usafiri wa mabasi ya shule wakati wanakwenda shule…