Kizungumkuti ukaguzi magari ya shule

Dar/mikoani. Wakati shule nyingi zikifunguliwa Jumatatu ya Januari 13, 2025, Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani linaendelea na ukaguzi wa mabasi ya wanafunzi huku likionya kuchukua hatua kali za kisheria kwa wote watakaokiuka sheria na miongozo. Mamia ya watoto, hasa wanaosoma shule za mijini, wamekuwa wakitumia usafiri wa mabasi ya shule wakati wanakwenda shule…

Read More

CCM KUENDELEA NA KAMPENI SONGWE KESHO

…………. Wananchi na wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kwa wingi kuonesha imani yao kwa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea kote nchini ambako kesho anatarajia kufanya Kampeni katika mkoa wa Songwe.  

Read More

Mahakama yakataa ombi la ushahidi wa mdomo kesi ya Polepole

Dar es Salaam. Mahakama imekataa kuridhia kupokea ushahidi wa mdomo wa Christina Polepole, ambaye ni dada wa Humphrey, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba. Mawakili wake waliwasilisha maombi hayo Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Oktoba 15, 2025 wakati shauri lilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji. Shauri hilo la maombi namba 24514/2025 linalosikilizwa na…

Read More

Kocha mpya Simba aleta beki Msauzi

KIKOSI cha Simba kinatarajiwa kuingia kambini kesho Jumapili mara baada ya kocha mkuu mpya, Steve Barker na wasaidizi wake watakapowasili, lakini kuna beki mmoja wa kushoto kutoka Sauzi anatajwa kuwa katika rada za klabu hiyo ili kuimarisha kikosi hicho kupitia dirisha dogo. Simba inadaiwa tangu mapema msimu huu ilikuwa ikimpigia hesabu beki wa kushoto wa…

Read More

Rais Samia aondoa wengine wawili Ikulu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, kwa mara nyingine akiigusa ofisi yake. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka leo Juni 22, 2024, Rais Samia amewapangia kazi nyingine watumishi wawili waliokuwa maofisa waandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu. Katika taarifa hiyo…

Read More

VIONGOZI WATEMBELEA BANDA LA MSD WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Na Mwandishi Wetu VIONGOZI mbalimbali wa Serikali wametembelea Banda la MSD kwenye maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ambayo yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma kuanzia tarehe 16 hadi 23 June, 2024. Miongoni mwa viongozi waliotembelea ni Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo George Simbachawene ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya…

Read More

Wanakimanumanu waitana Mkwakwani | Mwanaspoti

WAKATI African Sports ikiwa katika presha ya kushuka daraja, viongozi na benchi la ufundi wamewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mechi ya mwisho na Transit Camp, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga, Mei 10. Ukiachana na Biashara United iliyoshuka daraja baada ya sare ya bao 1-1, dhidi ya Geita Gold, kwa sasa ni timu…

Read More

‘Vumbi barabara za Kigoma imebaki historia’

Kigoma. ’Vumbi sasa basi.’ Ni kauli ya matumaini kwa wananchi wa Kigoma, wakielezea adha waliyokuwa wakipitia kabla ya ujenzi wa barabara ya Kabingo- Kasulu- Manyovu. Ujenzi wa barabara hiyo ambayo ipo kwenye ushoroba wa kimataifa wa Magharibi unaounganisha pia nchi za Burundi, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo umefikia asilimia 83. Ujenzi wake umegawanywa…

Read More

Rais Samia apangua Ikulu, wizara, mikia na wilaya

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali, huku sababu ikitajwa ni kuboresha utendaji kazi . Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Mabadiliko hayo ya viongozi yametangazwa Leo Alhamisi na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka. Katika uteuzi huo, Rais Samia amemteua Stanslaus Nyongo, kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,…

Read More