Dar City imejipanga | Mwanaspoti

DAR City kwa sasa ndiyo habari ya mjini kwenye mchezo wa mpira wa kikapu na katika kuhakikisha inazidi kuimarika, kimya kimya imeshusha majembe wapya kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano itakayoshiriki. City ambao ni mabingwa wa Ligi ya Kikapu ya Taifa (NBL), iliwasajili wachezaji hao mapema na tayari wameshaichezea kwenye michuano ya Afrika Mashariki….

Read More

Ubunifu kiteknolojia unavyopunguza hasara katika kilimo

Ndoto ya kila mkulima ni kupata mazao mengi ili aingize fedha za kutosha, lakini wakati mwingine msimu wa mavuno, hasa kwa wakulima wa mbogamboga na matunda huacha majonzi. Majonzi hayo yanatokana na kukosa soko na wakati mwingine bei ndogo wanayokutana nayo sokoni na hofu ya kupoteza mali baada ya mazao kuharibikia shambani, ambayo humlazimu mkulima…

Read More

Safari ya jasho, machozi na damu kuutafuta Uhuru wa Tanganyika

Katika karne ya 19, ardhi ya Tanganyika ilijumuisha jamii na makabila mbalimbali, wakiishi maisha ya jadi yaliyokuwa ya wakulima na wafugaji.  Yote haya yalifanyika kabla ya kile kilichoitwa: “Mashindano ya Kugawana Afrika,” (The Scramble for Africa). Mwaka 1885, katika mkutano wa Berlin uliohusu kile kilichoitwa: “Mapatano ya Kugawana Afrika,” nchi za Ulaya ziligawana Bara la…

Read More

Mwabukusi analipia gharama ya mguu alioingilia TLS

Stadi ya sayansi ya siasa, inathibitisha kuwa vyama vya upinzani hunufaika kupitia migogoro na serikali, kuliko maelewano. Tutapitia kazi ya mwanazuoni Elias Koch, kutoka Shule ya Hertie, iliyopo Berlin, Ujerumani. Shule ya Hertie ni taasisi inayoshughulika na utafiti, midahalo ya utawala bora na masuala ya umma, Ujerumani na Ulaya. Kazi ya Koch ilichapwa Agosti Mosi,…

Read More

Vigogo CCM waanguka kura za maoni umeya, sura mpya zachomoza

Dar/mikoani. Wakati jiji la Dar es Salaam likipata wagombea wapya wanne wa nafasi ya umeya kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), katika baadhi ya mikoa mingine vigogo wameangushwa. Wagombea wa CCM waliopatikana leo, Desemba 1, 2025 baada ya kushinda kura za maoni zilizofanyika nchi nzima ndani ya mchakato wa chama, sasa wataingia katika uchaguzi utakaowajumuisha pia…

Read More

WANANCHI WA BARIADI WAVUTIWW NA ELIMU YA FEDHA

Afisa Mkuu Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Mwile Kauzeni, akitoa ufafanuzi kwa washiriki wa mafunzo ya elimu ya fedha katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, akiwa miongoni mwa timu ya watoa elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha, miongoni mwa elimu aliyotoa ni pamoja na kuwaelimisha wananchi njia mbalimbali watakazotumia…

Read More