SERIKALI YA ZANZIBAR YA KUSANYA ZAIDI YA BILION 300 KUPITIA HATIFUNGANI YA KIISLAMU -SUKUK ZANZIBAR

  Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeandika historia mpya ya kiuchumi baada ya kufanikisha ukusanyaji wa zaidi ya shilingi bilioni 300 kupitia hatifungani inayozingatia misingi ya Kiislamu, maarufu kama Sukuk Zanzibar. Mafanikio hayo yamepatikana kupitia soko la awali, ambapo wawekezaji mbalimbali walijitokeza kuchangamkia fursa hiyo.   Fedha zilizopatikana kupitia Sukuk Zanzibar zitaelekezwa moja kwa moja katika…

Read More